Tupeane mix kali za muziki mtandaoni

Niko nakula Rhumba hapa, hii miziki inakuwa mizuri sana wakati unagonga Balimi
Screenshot_20230127-122528_Samsung%20Music.jpg
 
Sijui kwanini madj wa bongo wavivu kuweka mixing zao mtandaoni, mixing nyingi za kibongo zinafanywa na madj wa Kenya, na hapo hupati pure bongofleva maana ndani yake wanachanganya na ngoma zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom