mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,139
- 6,347
Unahakika na hizo data za kodi?Vitu vikapanda bei watu hawanunui kama hawanunui kodi ingetoka wapi?
Kiukweli vitu vya ujenzi havitoki kabisa sasa hivi, mfano tulikuwa na dili la kumfungia mtu madirisha ya alminium tulikubaliana bei laki 2,elfu20 kwa dirisha kaja kumaliza kazi stock ya zamani imekwisha tumekwenda kariakoo tukamwambia bei imepanda kila dirisha toutamfanyia laki3 very fair price wenzetu wanafanya laki 3.5 jamaa akasema ni hela ndefu kwa dirisha zake zipo 18.
Tuacheni utani biashara yaujenzi imeshrink site nyingi za ujenzi za watu binafsi zimesimama tusidanganyane ili kupata millage ya kisiasa