Tungekuwa wapi leo bila Rais Samia?

Vitu vikapanda bei watu hawanunui kama hawanunui kodi ingetoka wapi?
Unahakika na hizo data za kodi?
Kiukweli vitu vya ujenzi havitoki kabisa sasa hivi, mfano tulikuwa na dili la kumfungia mtu madirisha ya alminium tulikubaliana bei laki 2,elfu20 kwa dirisha kaja kumaliza kazi stock ya zamani imekwisha tumekwenda kariakoo tukamwambia bei imepanda kila dirisha toutamfanyia laki3 very fair price wenzetu wanafanya laki 3.5 jamaa akasema ni hela ndefu kwa dirisha zake zipo 18.
Tuacheni utani biashara yaujenzi imeshrink site nyingi za ujenzi za watu binafsi zimesimama tusidanganyane ili kupata millage ya kisiasa
 
Kama si mama nani angemng'ofoa nduli ndugai kwa aibu...
nani angewaparua benchi plofeza kabundi na lukumvi!
Nani angesafisha mitaa navurugu za machinga!
Nani angemsuuza kitwila mkundo!
Nani angewatuliza mpolipoli na bashilu!
Nani angemtuliza saambaya,murokiherehere nk.!
Nani angestopisha Chato kuwa dubei!!
Nani angepangua kandaziwa madarakani!!
Mambo nimengi telee mama kazi isongeee

Ili la umeme kukatika hovyo na lambowe tutahoji kesho eeeh!
Hivi umerudia kuusoma utoko uliondika.
 
Unahakika na hizo data za kodi?
Kiukweli vitu vya ujenzi havitoki kabisa sasa hivi, mfano tulikuwa na dili la kumfungia mtu madirisha ya alminium tulikubaliana bei laki 2,elfu20 kwa dirisha kaja kumaliza kazi stock ya zamani imekwisha tumekwenda kariakoo tukamwambia bei imepanda kila dirisha toutamfanyia laki3 very fair price wenzetu wanafanya laki 3.5 jamaa akasema ni hela ndefu kwa dirisha zake zipo 18.
Tuacheni utani biashara yaujenzi imeshrink site nyingi za ujenzi za watu binafsi zimesimama tusidanganyane ili kupata millage ya kisiasa
Bei za vitu zimepanda dunia nzima mbona mkuu!!
 
Toka ndani ya mioyo yetu tutafakari haya kwa pamoja huku tukimshirikisha Mungu wetu:

1. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu,Je watu wasiojulikana wangekuwa wamepoteza wenzetu wengine wangapi mpaka leo,Wewe unayempinga Rais Samia leo Je umewahi kujiuliza kama ungekuwa hai mpaka leo kama sio huyu Rais Samia unayempinga na kumbeza kila leo?

2. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu tungefanyaje kumaliza upungufu wa madarasa wa miaka mingi yanayofikia elfu 15 sawa na wastani wa madarasa matatu katika kila Shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima na mengine zaidi ya elfu 3 kwa shule za msingi Shikizi najua mnajua kabla tulisema Tanzania hatuna maambukizi ya Covid 19 hivyo tusingeweza kupata mkopo ule usio na riba,

3. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nilini tungekusanya kodi inayofikia Shilingi trilioni 2.51 kwa mwezi mmoja tena bila kunyanyasa wala kukimbiza walipakodi wetu,Kwani simnakumbuka Mzee Jakaya yeye alikusanya wastani wa trilioni 10 kwa mwaka mzima pesa tunayoweza kuikusanya kwa miezi minne tu sasa!!

4. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeweza kuongeza mzunguko wa fedha kwenye nchi ( M3 ) kwa mara mbili zaidi kutoka asilimia 6.5 hadi asilimia 12.7 tena kwa miezi tisa tu,

5. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeufikisha Uchumi wetu kwenye ukuaji wa Pato la Taifa wa asilimia 5.4 kutoka mdororo wa asilimia 2.1 wakati wa mtangulizi wake,

6. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu ni lini tungeifikia sera yetu ya 50/50 kwenye nyadhifa mbalimbali za Kivyama, kiserikali na taasisi nyingine mbalimbali kwani kupitia yeye Tanzania na dunia vimejifunza kuwa ni kweli kuwa " A Woman Can Lead anywhere at any Post "

7. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeinusuru miradi hii mikubwa ya kimkakati ya SGR na SG iliyokuwa ikijengwa kwa mikopo ya masharti ya kibiashara,Je umewahi kuwaza nini ingekuwa hatma ya Tanzania na Watoto wa Watanzani kwa madeni haya hatari ya kibiashara?

8. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaachilia huru Mashekhe wetu wa uamsho waliosota gerezani kwa miaka zaidi ya 10 bila kosa au Nani angewaachia Wana-CHADEMA waliokuwa wametapakaa karibu kila gereza hapa Tanzania?

9. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeifungua Tanzania kimataifa baada ya kuchafuliwa vibaya na kwa muda mrefu na akina Tundu Lissu na wenzake kiasi cha kunyimwa misaada na mikopo ya masharti|riba nafuu kulikotulazimu kama Taifa kuanza kuiingiza nchi yetu kwenye mikopo ya kibiashara wakati nchi haifanyi biashara ila inatoa huduma tu hili lilikuwa ni bomu kwa nchi,

10. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaongezea mishahara na madaraja makubwa makubwa watumishi wetu wa Serikali waliosota miaka mitano mfululizo bila kuona senti ya Serikali?

11. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaondolea Wasomi wetu VRF ya asilimia 6 toka makato ya asilimia 15 toka HESLB kwani leo wanakatwa asilimia 9 tu tena mpaka upate kazi ndio uanze kukatwa,

12. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angekivusha Chama Changu cha Mapinduzi Salama mwaka wa Uchaguzi 2024|25 ikiwa ni baada ya Rais Samia kurudisha Ushawishi wa Chama kwa jamii|Umma kutokana na matendo mema na mazuri ya Chama Chake na Serikali yake,

#Kama Sio katazo la Katiba kwa kudra za mwenyezi Mungu huyu Mama alitakiwa apewe miaka 20 ila katiba iheshimiwe twende na Mama mpaka 2030 itatufaa sana,Wewe unasemaje?

1,Mbowe kuwa gerezan

2.Machinga kuteseka

3, Tozo

4. Mfumuko wa bei
 
Toka ndani ya mioyo yetu tutafakari haya kwa pamoja huku tukimshirikisha Mungu wetu:

1. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu,Je watu wasiojulikana wangekuwa wamepoteza wenzetu wengine wangapi mpaka leo,Wewe unayempinga Rais Samia leo Je umewahi kujiuliza kama ungekuwa hai mpaka leo kama sio huyu Rais Samia unayempinga na kumbeza kila leo?

2. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu tungefanyaje kumaliza upungufu wa madarasa wa miaka mingi yanayofikia elfu 15 sawa na wastani wa madarasa matatu katika kila Shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima na mengine zaidi ya elfu 3 kwa shule za msingi Shikizi najua mnajua kabla tulisema Tanzania hatuna maambukizi ya Covid 19 hivyo tusingeweza kupata mkopo ule usio na riba,

3. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nilini tungekusanya kodi inayofikia Shilingi trilioni 2.51 kwa mwezi mmoja tena bila kunyanyasa wala kukimbiza walipakodi wetu,Kwani simnakumbuka Mzee Jakaya yeye alikusanya wastani wa trilioni 10 kwa mwaka mzima pesa tunayoweza kuikusanya kwa miezi minne tu sasa!!

4. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeweza kuongeza mzunguko wa fedha kwenye nchi ( M3 ) kwa mara mbili zaidi kutoka asilimia 6.5 hadi asilimia 12.7 tena kwa miezi tisa tu,

5. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeufikisha Uchumi wetu kwenye ukuaji wa Pato la Taifa wa asilimia 5.4 kutoka mdororo wa asilimia 2.1 wakati wa mtangulizi wake,

6. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu ni lini tungeifikia sera yetu ya 50/50 kwenye nyadhifa mbalimbali za Kivyama, kiserikali na taasisi nyingine mbalimbali kwani kupitia yeye Tanzania na dunia vimejifunza kuwa ni kweli kuwa " A Woman Can Lead anywhere at any Post "

7. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeinusuru miradi hii mikubwa ya kimkakati ya SGR na SG iliyokuwa ikijengwa kwa mikopo ya masharti ya kibiashara,Je umewahi kuwaza nini ingekuwa hatma ya Tanzania na Watoto wa Watanzani kwa madeni haya hatari ya kibiashara?

8. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaachilia huru Mashekhe wetu wa uamsho waliosota gerezani kwa miaka zaidi ya 10 bila kosa au Nani angewaachia Wana-CHADEMA waliokuwa wametapakaa karibu kila gereza hapa Tanzania?

9. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angeifungua Tanzania kimataifa baada ya kuchafuliwa vibaya na kwa muda mrefu na akina Tundu Lissu na wenzake kiasi cha kunyimwa misaada na mikopo ya masharti|riba nafuu kulikotulazimu kama Taifa kuanza kuiingiza nchi yetu kwenye mikopo ya kibiashara wakati nchi haifanyi biashara ila inatoa huduma tu hili lilikuwa ni bomu kwa nchi,

10. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaongezea mishahara na madaraja makubwa makubwa watumishi wetu wa Serikali waliosota miaka mitano mfululizo bila kuona senti ya Serikali?

11. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angewaondolea Wasomi wetu VRF ya asilimia 6 toka makato ya asilimia 15 toka HESLB kwani leo wanakatwa asilimia 9 tu tena mpaka upate kazi ndio uanze kukatwa,

12. Kama sio Rais Samia Suluhu Hassan kupewa kibali na Mungu nani angekivusha Chama Changu cha Mapinduzi Salama mwaka wa Uchaguzi 2024|25 ikiwa ni baada ya Rais Samia kurudisha Ushawishi wa Chama kwa jamii|Umma kutokana na matendo mema na mazuri ya Chama Chake na Serikali yake,

#Kama Sio katazo la Katiba kwa kudra za mwenyezi Mungu huyu Mama alitakiwa apewe miaka 20 ila katiba iheshimiwe twende na Mama mpaka 2030 itatufaa sana,Wewe unasemaje?

Umeona ehh, lazima tukubali samia ametuokoa kiasi flan,
watetezi wetu walikuwa wameshatukimbia wellah. na mwenda zake alikuwa anakuja na mitano tena.
Mungu azidi kutulinda.
 
Ndio maana nipo hapa JF na sio ikulu, kama hawawezi awaachie wengine wanaojua nini cha kufanya.
Kumbe unalaumu bure tu, hata wewe hujui cha kufanya.

Basi 2025 tutamuachia GAIDI ama yule wa " nimekosa Mimi nimekosa mno nisamehe sana."

ili atoe ruzuku kwa bidhaa na huduma zote zitakazokuwa sokoni.

Piiipoooooooooooooooooowz
 
Ngoja aje Rais mwingine,mtaanza kumshambulia Samia,machawa ni kama funza

Kama wewe ni kiongozi katili ni katili, Magufuli mbona alishambuliwa sana akiwa madarakani, hatutamsahau kwa uonevu wake kwa watanzania, na kuumiza watu kwa wasiojulikana kisa kimkosoa utafikiri yeye Mungu kwamba kakamilika kwa kila kitu,,

Mama amejitahidi sana kurudisha furaha na amani ya watanzania iliyokuwa inaendelea kupotea kwa kasi kali
 
Kama wewe ni kiongozi katili ni katili, Magufuli mbona alishambuliwa sana akiwa madarakani, hatutamsahau kwa uonevu wake kwa watanzania, na kuumiza watu kwa wasiojulikana kisa kimkosoa utafikiri yeye Mungu kwamba kakamilika kwa kila kitu,,

Mama amejitahidi sana kurudisha furaha na amani ya watanzania iliyokuwa inaendelea kupotea kwa kasi kali

Ile Mbwa ilikuwa zaidi ya shetani
 
Kama wewe ni kiongozi katili ni katili, Magufuli mbona alishambuliwa sana akiwa madarakani, hatutamsahau kwa uonevu wake kwa watanzania, na kuumiza watu kwa wasiojulikana kisa kimkosoa utafikiri yeye Mungu kwamba kakamilika kwa kila kitu,,

Mama amejitahidi sana kurudisha furaha na amani ya watanzania iliyokuwa inaendelea kupotea kwa kasi kali
Ukatili anaomfanyia Mbowe huuoni?
 
Kwahyo cost of living ya USA ikipanda na Tanzania ipande?? Mbona unaakili za kifala sana, kwahiyo USA ni Tz? Na serikali inafanya jitihada zipi kupambana na inflation? Naomba nijibu hili swali kichumi zaidi
Huelewi maana ya mifano utanipotezea muda tu.

Hata Nigeria kwenye taarifa ya habari ya leo kuna issue ya inflation. Briefly nilitaka nikuambie inflation siyo kigezo cha ubora wa Kiongozi ndiyo maana hata Nchi zilizoendelea zina suffer
 
Back
Top Bottom