LOGIC MENTALITY
Senior Member
- Mar 19, 2021
- 124
- 86
Acha Ulevi kipi kizuri alichofanyaKwakweli bila Rais Samia sijui ata tungekuwa wapi maana duuuh,
Amewapa matumaini
MAFISADI
Amewapa matumaini
MABEBERU
Amewapa matumaini
matapeli wa ccm
Amewapa matumaini wanamtandao
Amewaacha wanyonge wateseke na kuongeza bei za umeme
Amewavunjia mitaji wamachinga wako hoi taabani
Sasa nafuu yake iko wapi sijaiona mie