johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amesema kama kweli tunahitaji Katiba Mpya itumike katika chaguzi za 2024 na 2025 basi Muswada wa sheria ya Katiba Mpya ni lazima upelekwe bungeni kwenye kikao kinachokuja cha Bunge
Vinginevyo Tutakuwa Nje ya muda, amesema Lisu
Source Star tv
Vinginevyo Tutakuwa Nje ya muda, amesema Lisu
Source Star tv