fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,379
- 11,523
Thubutu bwashee unaotaBasi utakamatwa kwa kukataa kutii sheria bila shuruti!
Thubutu bwashee unaotaBasi utakamatwa kwa kukataa kutii sheria bila shuruti!
Sio kumfuata fuata tu.... Tutambinya mpaka mapumbu ngojaSirro akitaka kudhalilika aendelee kumfuata fuata Lissu
Barua inasema chana sio chama halfu inasema Democrasia halfu inasema mwenyekiti yupi sasa wa shina? Tawi? Mkoa? Au Taifa? ?
Halaf inaenda kwenye chama Sio kwa mhusika ambaye ni Tundulissu
Upumbavu to the highest degreeKuigomea polisi kufanya uchunguzi ni kinyume cha sheria; sasa sijui yeye ni mwanasheria gani. Wakati mwingine polisi wanaweza kutaka kukuhoji wewe kama shahidi kuhusu mtumhumiwa mwingine tofauti kabisa ambaye wanaweza kuwa na taarifa zake zaidi. Ni afadhali angejibu tu kuwa sasa hivi ratiba yake iko tight sana anaomba akutane na polisi katika muda mwingine siyo sasa kuliko kuweka jou hilo la kukaidi, kwani tayari ameshaweka ushahidi unaoweza kutumika dhidi yake; ndiyo maana nina mashaka sana na busara za Lissu pamoja na uanasheria wake. Hiyo kisheria ni kuizuia polizi kufanya kazi zake ammbalo ni kosa. Raia kuhojiwa na polisi ni sehemu ya majukukumu ya polisi kabla hawajamchukulia mtu hatua; yeye Lissu anaogopa nini kuhojiwa kama anajua yuko clean?
Wacha upuuzi wa kiccm,siasa zimewashinda mnatumia mabavu ya vyombo vya dolaLissu anatafuta sababu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
IGP ninamshauri, issue ya TL aachane nayo amuachie mgombea mwenzake JPM wachuane .ninakumbuka Yule IGP wa Kenya aliitwa The Hague akawa anasema alikuwa anapewa maelekezo kutoka juu. Mahakama haikumuelewa,Thubutu bwashee unaota
Umekojoa kitandani ukiwa umeoaUsiwafundishe jinsi ya kuandika barua Police wetu halafu kumbuka kuwa hawa wamesomea sheria kuliko Tundu Lissu
Nothing more nothing less..
Kweli Lissu anawapeleka mchaka mchaka
Duuh inamaana hapa Tz watu wanapaswa kurudi tena darasani eeeh?
Hii masanja mkandamizaji na kile kipindi chake chakiulizo time anajua watanzania tulivyp,,,Nauliza jamani.
Hiyo barua imeandikwa na kupelekwa kwa.
Mwenyekiti wa.
"Chana cha Democrasia na maendelea"
Ndio nani huyo mwenyekiti wa
Chana?
Yaani Chana kama Chana.
IGP ninamshauri, issue ya TL aachane nayo amuachie mgombea mwenzake JPM wachuane .ninakumbuka Yule IGP wa Kenya aliitwa The Hague akawa anasema alikuwa anapewa maelekezo kutoka juu. Mahakama haikumuelewa,