Executivesister
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 514
- 593
Mkuu una uhakika tungekuwa hai....Aisee kama sote tungekuwa kama Lissu, Nchi hii ingekuwa mbali sana
Mkuu una uhakika tungekuwa hai....Aisee kama sote tungekuwa kama Lissu, Nchi hii ingekuwa mbali sana
Kuwa mwanasheria raha sana.Duuh inamaana hapa Tz watu wanapaswa kurudi tena darasani eeeh?
Na usipopokea simu halafu watafanyajeLissu anatafuta sababu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
Huo huo mstari mkumbushe na jiwe kuwa wananchi wa tunduma hawastahili kufokewa wa kupangiwa mtu wa kumchagua hivyo achunge ndimi yakeMkumbusheni Lisu kuwa kuna mstari baina ya kuwa mgombea na kuwa Rais,
Sasa yeye anafikiri kuwa mgombea wa Urais ndio tayari ushakuwa Rais hivyo unakuwa juu ya vyombo vya dola.
Aende tu huko anakoitwa kwani jamaa wanauwezo wa kumfuata na kumchukua muda wowote wakitaka.
Kwa sheria za Lumumba kweli wanaweza,Lissu anatafuta sababu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
afande amekariri kwa kuwa huwa wanadeal na wahalifu wasiojua sheria anachukulia mazoea.Sawa afande
Wapi sheria imemkataza Lissu kuongea na mabalozi?Kabudi no waziri wa mambo ya nje ndie bosi wa mabalozi wote aweza ongea nao anytime
Dah..mbona naona barua imepigwa chapa ya "confidential " halafu imetundikwa mtandaoni.
Kazi kweli kweli.View attachment 1587578SORO Vumilia dawa iingie lissu anakudunga sindano za farasi na punda
Polepole atakua analijua vyema 🤔hivi kwanza nataka kujua, kosa la lisu ni lipi?
Tutaingia kitaa kukinukisha.Mkitaka kuharibu uchaguzi mkuu mwaka huu mkamateni TL.
Umegusa eneo muhimu sana, MATAGA hawaelewi maama ya Jamhuri. Ndio tatizo linapoanziaHeheheee.... Ukweli ni kwamba, hiyo ni sawa sawa na barua ya harusi tu!
Wito au barua ya polisi LAZIMA ieleze KOSA ANALOITIWA KWALO ikiambatana na "statement of probable cause" kuhusu kosa hilo!
Huwezi tu kuita mtu kienyeji enyeji! Angalau sio kwenye nchi tunayoiita "Jamuhuri" (sijui hata kama unaelewa maana ya Jamuhuri wewe mataga?)
Vinginevyo hiyo itakuwa ni Jamuhuri ya kihuni tu kama mapolisi watakuwa wanajiendesha kama genge la walevi.
Polisi hawako juu ya sheria. Wafuate hizo procedures waache kujidekeza!
Hayo ni mazoea , na ndio loophole watu wasiojulikana wanaitumia pia .Lissu anatafuta sababu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
Wacha upuuzi wa kiccm,siasa zimewashinda mnatumia mabavu ya vyombo vya dolaLissu anatafuta sababu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
Kwa mbumbumbu kama wewe hata wakipiga mruzi tu unatakiwa kwenda polisi. Lissu ni msomi tena wa sheria.Lissu anatafuta sababu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote