MUUNGANO WENU MNAOBISHANIANA UPO HIVI:
TANGANYIKA + ZANZIBAR = TANZANIA + ZANZIBAR.
Tanganyika ilikuwa nchi
Zanzibar ilikuwa nchi.
Baada ya Muungano matokeo
Tanzania ni Jamuhuri ya muungano wa nchi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar then Zanzibar inabakia kuwa ni nchi huru ndani ya muungano.
Hapa ndipo kwenye kiini cha matatizo yenu yote na hayatakaa yaishe mpaka mkae muamue mfumo mwingine.
TANGANYIKA + ZANZIBAR = TANZANIA + ZANZIBAR.
Tanganyika ilikuwa nchi
Zanzibar ilikuwa nchi.
Baada ya Muungano matokeo
Tanzania ni Jamuhuri ya muungano wa nchi mbili yaani Tanganyika na Zanzibar then Zanzibar inabakia kuwa ni nchi huru ndani ya muungano.
Hapa ndipo kwenye kiini cha matatizo yenu yote na hayatakaa yaishe mpaka mkae muamue mfumo mwingine.