Mwanasheria huyo anapotosha anasema TBC inamilikiwa na CCM wakati kodi yake inakatwa kugharamia, basi na yeye kama mnadhimu asiruhusu kupokea fedha za ruzuku wanazopewa na Serikali ya CCM kama kila kitu cha serikali hii ni kibaya!!ukivimbewa siasa unaweza kuwa mwehu hivihivi!
mzee unawania udiwani nini?,asubuhi subuhi na makabrasha ya siasa,kumbe najibishana na watu wanaokula kupitia siasa?,
ha ha ha........
Hiyo ya saa mbili usiku haitoshi,,Wajiunge na TBC pia kuanzia saa 12 mpaka saa 2 Asubuhi,,
Kwani muswaada huo wa sheria ya habari content yake ikoje ndugu?
Naona unatumia Silaha ya Mwisho ya Ccm Ambayo ni Matusi
Hivi Wakuu, Katika Masuala kama haya yenye sura ONEVU kwa Wananchi na Vyombo vya Habari Je hatuwezi lalamika kwenye Jumuiya za Kimataifa zinazohusika na uhuru wa vyombo vya habari ziweze kuingilia kati endapo muswada huo utapitishwa bungeni?
Vyombo vya habari vingine vyote vinataka kuwekwa chini ya utumwa na kufanywa vitoeo vya tbc CCM.
Ccm wa najua awana lao nisawa na mnyama anae kata roho ukiwa karibu yake anaweza kukudhuru kwani anarusha mateke sana ndio maana miswada mibovu kama hii inakuja kipindi hichi ambacho tuna chinja.
Naunga mkonyo hoja,
Miswada mibovu miingi itapelekwa cha msingi ukawa mjipange mpeleke wabunge weengi ili iwasaidie kupitia upya baadhi ya sheria zilizopitishwa mbovu,,huoni wakina mwiguru walikua wanazomea na ndioo leo hii wanasema wizara inatenga hela za sherehe nyingi zaidi ya kujenga zahanati hajawahi kusema wapinzani wakilisemea lukuvi anasimama,leo wanataka uraisi kwa walichokua wanapinga..ngoja tuendelee kuona hii movie
Inaonekana umezidiwa aisee!nitajie sheria mbovu unazozijua wewe ambazo zimekuletea madhara wewe binafsi!
Naunga mkono hoja,,
Mkuu achana nao, hawa ni wafuata mkumbo tu!