Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Upiganaji nayo ni sera na nchi nyingi zimekombolewa kwa sera ya kupigana.
Umepotea njia wewe nenda kapigane kwenye familia yako acha ubabaishaji.
Upiganaji nayo ni sera na nchi nyingi zimekombolewa kwa sera ya kupigana.
Mnadhimu mkuu wa upinzani bungeni Tundu Antipass Lissu ameionya vikali serikali ya CCM dhidi ya mpango wa kuleta mswada haramu wa kudhibiti vyombo binafsi vya habari nchini.
Lissu amesema wabunge wa Ukawa watatumia njia yoyote hata ikibidi kupigana ndani ya bunge hilo ili kuzuia upokwaji wa haki ya Watanzania.
Lissu amesema lengo la mswada huo ni ili kuhakikisha ni habari tu za CCM zinatangazwa hasa katika kipindi cha uchaguzi kwani itakuwa ni marufuku TV binafsi kutangaza Taarifa ya habari badala yake TBC pekee inayomilikiwa na CCM ndiyo itakuwa na haki hiyo.
Lissu ameapa kwamba kamwe hawataruhusu mswada huo kusomwa bungeni.
Source: ITV
Inaweza kuwa ni sera lakini siyo siasa. Siasa ni kinyume cha kupigana.
Umepotea njia wewe nenda kapigane kwenye familia yako acha ubabaishaji.
Kinacho angaliwa hapo ni kipi kitakacho kufanya ufikie ukombozi aufikie ukombozi kwa haraka zaidi.
Sasa kama umepiga siasa wee,umeona hazisaidii kukufikisha kwenye malengo na yule unayempigia siasa ana ona ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa,hapo kuna sababu ya kutokuzichapa?wakati dalili zote zinaonyesha kuwa ili upate haki ni lazima mchapane.
Watu kama ninyi ndio mnaotakiwa kupigwa kwa kuwa hamna faida kwa Taifa.
Tukundane inaelekea wewe ni mkimbizi hilo jina umelipata wapi?ndo maana huna uchungu na manyanyaso wanayopata waandishi wa habari dhidi ya MOAT.
Huyo anatumika tu na atakua kaahidiwa na Mwenyekiti wa MOAT kupatiwanmuda kwenye Tv yake na atapigana kweli maana alipokua akisomea sheria kule wanakopigania IS aliambiwa akiwa mahakamani kama wakili anaruhusiwa kupigana
Ili ashinde kesi yake!:boxing::boxing:
Endelea kushikiria Mapembe ya Lisu, Kwenye Posho huonekani hapa ndo unajifanya kulipuka tokaaa,muwe wakweli acheni kucheza ngoma ya MOAT ambayo hata mdundo wake hamuujui au nyie ni makanjanja??
Umepotea njia wewe nenda kapigane kwenye familia yako acha ubabaishaji.
Ha ha ha sawa Kinjekitile junior mpiganaji muoga kama kunguru,Kinjekitile angekuwa muoga kama hivyo sidhani kama kwenye orodha ya mashujaa angekuwemo.
CCM ni kama ukoo wa Panya.Fikiria jinsi Familia ya Kingunge inavyoliibia Taifa.
Ungekua na Uchungu Dingi asingekua anapiga pesa haramu pale ubungoTukundane inaelekea wewe ni mkimbizi hilo jina umelipata wapi?ndo maana huna uchungu na manyanyaso wanayopata waandishi wa habari dhidi ya MOAT.