Tundu Lissu: Salamu za sikukuu ya Noeli na Mwaka Mpya kwa wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)

Nawapongeza Chadema kutimiza miaka 27 katika ulingo wa siasa za Tanzania.

Lakini najaribu kufikiria 2015 Chadema ilitaka kupewa ridhaa ya kuongoza Tanzania bila ya kuwa na uwakilishi wa nchi nzima. Mh. Lissu anathibitisha hapa kwa kusema chama kilikuwa hakina watu wenye sifa za kichagulia, ndio maana waliishia kuteuwana tu.

Ni bora Lissu ametupa picha halisi la ndani ya Chadema, huwezi kushida uchaguzi wa Tanzania kama huna uwakilishi wa kila kona nchi zima.
 
Sijawahi kuacha kusoma andiko lako na mara nyingi ulihifadhi kwa ajili ya rejea.

Mungu amekubariki na kukujaalia akili nyingi mno.

Nakuhakikishia kamanda tupo tayari kwa utekelezaji.

No hate no fear.
 
Uhuni mliowafanyia UKAWA uchaguzi uliopita sidhani kama watakua na hamu nanyinyi tena. Kwanza hakuna tena mwamko CUF ni kama imejifia, ACT wameelekeza nguvu zao Zanzibar kwasbbu ndo wana uhakika wa kupata wabunge wengi huko ili waongoze kambi ya upinzani bungeni. Huku mtapambana na CCM. Kama itawapendeza wekeni mpira kwapani mapema kama kawaida yenu. Coz hamuwezi kupata ushindi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuki yako binafsi kwa Raisi kipenzi cha watanzania Dr John Pombe Magufuli, zitakufanya ushindwe kuongoza CHADEMA kama unavyotegemewa. Mbona bosi wako Mbowe hana chuki hiyo? Mbona katibu mkuu wako mpya hana hiyo chuki binafsi?
Baada ya kutoa salaam zinazotuonyesha matumaini mbeleni tuendako, wewe unatiririsha chuki, itakusaidia nini Bw. Lissu? Jenga chama bila ya kuleta chuki yako binafsi. CHADEMA imara itaimarisha CCM mara mia - shime uache chuki. Nakutakia uongozi bora na pia moyo usio na chuki kwa Raisi wetu.
Yaani Lissu kuongelea yanayotokea Tanzania siku hizi ndio chuki binafsi? I wish siku moja utandikwe risasi moja tu, uugulie vizuri maumivu, halafu uje upate muda wa kumsema huyo unaedhani ndie aliesababisha wewe upigwe hiyo risasi, sijui utampongeza we bwege!.

NB. Ukumbuke Lissu yeye alimiminiwa ishirini na nane (28).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuki yako binafsi kwa Raisi kipenzi cha watanzania Dr John Pombe Magufuli, zitakufanya ushindwe kuongoza CHADEMA kama unavyotegemewa. Mbona bosi wako Mbowe hana chuki hiyo? Mbona katibu mkuu wako mpya hana hiyo chuki binafsi?
Baada ya kutoa salaam zinazotuonyesha matumaini mbeleni tuendako, wewe unatiririsha chuki, itakusaidia nini Bw. Lissu? Jenga chama bila ya kuleta chuki yako binafsi. CHADEMA imara itaimarisha CCM mara mia - shime uache chuki. Nakutakia uongozi bora na pia moyo usio na chuki kwa Raisi wetu.
Huko ccm unakusemea kuhusu hilo unalolitetea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Lissu kuongelea yanayotokea Tanzania siku hizi ndio chuki binafsi? I wish siku moja utandikwe risasi moja tu, uugulie vizuri maumivu, halafu uje upate muda wa kumsema huyo unaedhani ndie aliesababisha wewe upigwe hiyo risasi, sijui utampongeza we bwege!.

NB. Ukumbuke Lissu yeye alimiminiwa ishirini na nane (28).

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo unazijua risasi wewe
 
Uhuni mliowafanyia UKAWA uchaguzi uliopita sidhani kama watakua na hamu nanyinyi tena. Kwanza hakuna tena mwamko CUF ni kama imejifia, ACT wameelekeza nguvu zao Zanzibar kwasbbu ndo wana uhakika wa kupata wabunge wengi huko ili waongoze kambi ya upinzani bungeni. Huku mtapambana na CCM. Kama itawapendeza wekeni mpira kwapani mapema kama kawaida yenu. Coz hamuwezi kupata ushindi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
mwanaume haogopi mapambano, ila ni vyema ukumbuke spirit never die.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuki yako binafsi kwa Raisi kipenzi cha watanzania Dr John Pombe Magufuli, zitakufanya ushindwe kuongoza CHADEMA kama unavyotegemewa. Mbona bosi wako Mbowe hana chuki hiyo? Mbona katibu mkuu wako mpya hana hiyo chuki binafsi?
Baada ya kutoa salaam zinazotuonyesha matumaini mbeleni tuendako, wewe unatiririsha chuki, itakusaidia nini Bw. Lissu? Jenga chama bila ya kuleta chuki yako binafsi. CHADEMA imara itaimarisha CCM mara mia - shime uache chuki. Nakutakia uongozi bora na pia moyo usio na chuki kwa Raisi wetu.
Mtu akiwa kipenzi chako na mumeo unadhani ni lazima awe kipenzi cha Watanzania?
Usituchanganye!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawapongeza Chadema kutimiza miaka 27 katika ulingo wa siasa za Tanzania.

Lakini najaribi kufikiria 2015 Chadema ilitaka kupewa ridhaa ya kuongoza Tanzania bila ya kuwa na uwakilishi wa nchi nzima. Mh. Lissu anathibitisha hapa kwa kusema chama kilikuwa hakina watu wenye sifa za kichagulia, ndio maana waliishia kuteuwana tu. Ni bora Lissu ametupa picha halisi la ndani ya Chadema, huwezi kushida uchaguzi wa Tanzania kama huna uwakilishi wa kila kona nchi zima.
Tundu Lisu kaivua nguo zote Chadema Hadi za ndani
 
Back
Top Bottom