Kauli Ya Lissu imedhihilisha kua CHADEMA ni Chama Cha Democrasia na Maendeleo

bitare

Senior Member
Jul 13, 2023
197
598
Katika vyama vya siasa vilivyo vingi Tanzania ikiwemo hata CCM yenyewe nivigumu kusikia kingozi au mwanachama akikosoa mwenendo wa chama au kiongozi wachama chake na asijikute katika wakati mgumu isipokua Chadema.

kama unaukalibu na Poul Makonda muulize, Atakwambia yaliomkuta baada ya kutishia kuwataja Mawazili anaodai hua Wanamtukana Rais.

Vyama vingine navyo vikomae visiogope viongozi wake kukosoana au kukosolewa bali wanapofikia maamuzi ya pamoja inakua ndo mwisho wa hoja kama Chadema.

Ndio maana watu hushangaa kuona Chadema wanapotofautiana kitazamo lakini mwisho wasiku tunaona viongozi wao wakifulahi nakuendelea kufanya kazi kwapamoja na kwa bidii.
 
Katika vyama vya siasa vilivyo vingi Tanzania ikiwemo hata CCM yenyewe nivigumu kusikia kingozi au mwanachama akikosoa mwenendo wa chama au kiongozi wachama chake na asijikute katika wakati mgumu isipokua Chadema.

kama unaukalibu na Poul Makonda muulize, Atakwambia yaliomkuta baada ya kutishia kuwataja Mawazili anaodai hua Wanamtukana Rais.

Vyama vingine navyo vikomae visiogope viongozi wake kukosoana au kukosolewa bali wanapofikia maamuzi ya pamoja inakua ndo mwisho wa hoja kama Chadema.

Ndio maana watu hushangaa kuona Chadema wanapotofautiana kitazamo lakini mwisho wasiku tunaona viongozi wao wakifulahi nakuendelea kufanya kazi kwapamoja na kwa bidii.
Lazima kuwe na kukokosoana
 
Kuandika threads za lissu mfululizo zisizo na maana yoyote ni ujuha wa kipekee!, JF, Itafute uzi mmoja ili takataka zote za huyo mpuuzi juha ziwe zinatumbukizwa humo!
Kwani ule upumbavu mnaoandikaga kuna MTU aliwahi kuwakataza? Kama ni UJUHA ni wa kwake, wewe inakuuma nini? Juha Yuko busy kusoma nyuzi za kijuha. Nchi ngumu sana hii
 
Katika vyama vya siasa vilivyo vingi Tanzania ikiwemo hata CCM yenyewe nivigumu kusikia kingozi au mwanachama akikosoa mwenendo wa chama au kiongozi wachama chake na asijikute katika wakati mgumu isipokua Chadema.

kama unaukalibu na Poul Makonda muulize, Atakwambia yaliomkuta baada ya kutishia kuwataja Mawazili anaodai hua Wanamtukana Rais.

Vyama vingine navyo vikomae visiogope viongozi wake kukosoana au kukosolewa bali wanapofikia maamuzi ya pamoja inakua ndo mwisho wa hoja kama Chadema.

Ndio maana watu hushangaa kuona Chadema wanapotofautiana kitazamo lakini mwisho wasiku tunaona viongozi wao wakifulahi nakuendelea kufanya kazi kwapamoja na kwa bidii.
Erythrocyte take note of this
 
Back
Top Bottom