Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Baada ya ccm kuingia kiwewe na kufanya hujuma watu wasipate elimu juu ya katiba pendekezi na kumdhalilisha mzee wetu jaji warioba leo wanaingia kwenye mtihani wa pili pale ambapo Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu atakuwa ndani ya kipindi cha HOTMIX kinachorushwa na EATV leo tarehe 4-11-2015 kuanzia saa 12:00 jion lissu atakuwa akifunguka kuhusu Katiba pendekezi.
Sasa kwa wale wasiotaka watu wajadili na kupata elimu kuhusu katiba pendekezi na leo wasimame na Mabango yenye jumbe tofauti mbele ya Tv zao Lazima watawala wafike mahala na kukubali ni vigumu kuzuia maji kupita kwenye mkondo wake.
Watz wote kaeni mkao wa kula kuanzia saa 12 jioni Lissu atatoa elimu hiyo bure na Live!
Karibuni!!!
Sasa kwa wale wasiotaka watu wajadili na kupata elimu kuhusu katiba pendekezi na leo wasimame na Mabango yenye jumbe tofauti mbele ya Tv zao Lazima watawala wafike mahala na kukubali ni vigumu kuzuia maji kupita kwenye mkondo wake.
Watz wote kaeni mkao wa kula kuanzia saa 12 jioni Lissu atatoa elimu hiyo bure na Live!
Karibuni!!!