Umsolopogas
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 256
- 69
Hivi tbc bado inarushaga matangazo mkuu?miaka kadhaa sasa sijaiangalia.
Nani aangalie upuuzi wao? Mna muda wa kupoteza.
Hivi tbc bado inarushaga matangazo mkuu?miaka kadhaa sasa sijaiangalia.
Hivi tbc bado inarushaga matangazo mkuu?miaka kadhaa sasa sijaiangalia.
shame on them,,,lisu anakaribishwa tuu,,,temeke umeme umekatikaBaada ya ccm kuingia kiwewe na kufanya hujuma watu wasipate elimu juu ya katiba pendekezi na kumdhalilisha mzee wetu jaji warioba leo wanaingia kwenye mtihani wa pili pale ambapo Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu atakuwa ndani ya kipindi cha HOTMIX kinachorushwa na EATV leo tarehe 4-11-2015 kuanzia saa 12:00 jion lissu atakuwa akifunguka kuhusu Katiba pendekezi.
Sasa kwa wale wasiotaka watu wajadili na kupata elimu kuhusu katiba pendekezi na leo wasimame na Mabango yenye jumbe tofauti mbele ya Tv zao Lazima watawala wafike mahala na kukubali ni vigumu kuzuia maji kupita kwenye mkondo wake.
Watz wote kaeni mkao wa kula kuanzia saa 12 jioni Lissu atatoa elimu hiyo bure na Live!
Karibuni!!!
shame on them,,,lisu anakaribishwa tuu,,,temeke umeme umekatika
Ana shindwa kwenda kwenye vikao vya bunge ana baki kuzunguka kwenye Television tuu!
Kaka nimekubari, tunamfaidi Tundu lisu kamanda asiyeohopa kitu. KARIBUNI WOTE
Asubuhi alitema nondo channel ten, jioni EATV na kesho asubuhi tunataka TBCCM akaue ..!
Ana shindwa kwenda kwenye vikao vya bunge ana baki kuzunguka kwenye Television tuu!
Mkuu.
Tutamsikiliza nguli wa sheria na mwanasiasa mahiri Mh. T. Lissu.
Ninaomba uchambuzi wao wauandae vema kisha waweke you tube ili kuweza kufanya rejea.
Lissu anasema prof J haaminiki kabisa