Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kushinda Uchaguzi wa 2020, Dkt. Magufuli ana nafasi kubwa ya kushinda

Nimefuatilia kampeni za uchaguzi kwa wagombea wa nafasi ya uraisi 15 huku wengine wakishindwa kufanya kampeni na wengine kujitoa na huyu Tundu Lissu kupata wafuasi wengi lakini wanaokwenda kumshangaa kupona kufa baada ya risasi 38 na 16 kumpata mwilini.

Majority ya Watanzania wana imani kubwa sana na Serikali ya awamu ya 5 kutokana na yale yaliyofanyika hivyo sio rahisi kwa Tundu Lissu kushinda uchaguzi

Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu kwa asilimia kubwa kutokana na Watanzania kujenga imani naye.

Matamshi ya Tundu Lissu na Maalim Seif kwenye uchaguzi huu ni matamshi ya shari na sio ya amani na Watanzania hawapendi machafuko hivyo sio rahisi kabisa kushinda.
Yaani nyinyi mpaka tutiane vitasa ndio mtaachia nchi.
 
Mkuu Tundu hawajui watanzania

Watanzania ukiwajua utaishi kwa raha sana wana upendo sana, wana huruma, wana mshikamano, watakufanyia chochote bila hata malipo mradi uwadharau.
Kitendo cha Tundu kuwaambia watanzania hawajui kiingereza tuu lilikua tusi
Kitendo cha Tundu kujirekodi kwa kiingereza na kumtumia Amstadam nalo tusi
Kitendo cha Tundu kutukana watendaji wa vyombo vya serikali Hilo ni tusi
Na mengine mengiii..... watanzania ndio wale wakuitwa wajumbe. Muulizeni Mpoki, Zamaradi na Steve

Magufuli anawajua watanzania na watanzania wanamjua hata mumpake matope watamsafishaa
Wewe unaka awadanganye kuwa wanajua kingereza na huku hawajui? Hilo nalo ni tusi?
 
Piga kura nenda home ukibaki kituoni Kuna Jambo unalitafuta na utalipata

Napiga kura siendi nyumbani na domo peke yangu katika hilo. Kama nimeandikiwa kuuwawa na nyie na iwe hivyo.

Lissu kapambana nanyi single handedly. Mchango wangu hata katika kifo kumtia mtu jamba jamba ICC hautakuwa bure.

Kama ni kuchagua shari mtagua nyie. Kuwaachia kuchakachua masanduku ya kura haiwezi kuwa ni option hata kidogo.

Kwani mnaaminika mumiani nyie? Tangu lini mafisi mnalazimisha kuwa ulinzi wa bucha?
 
Napiga kura siendi nyumbani na domo peke yangu katika hilo. Kama nimeandikiwa kuuwawa na nyie na iwe hivyo.

Lissu kapambana nanyi single handedly. Mchango wangu hata katika kifo kumtia mtu jamba jamba ICC hautakuwa bure.

Kama ni kuchagua shari mtagua nyie. Kuwaachia kuchakachua masanduku ya kura haiwezi kuwa ni option hata kidogo.

Kwani mnaaminika mumiani nyie? Tangu lini mafisi mnalazimisha kuwa ulinzi wa bucha?
Hautauwawa na vikosi vya usalama Bali ukileta fujo eneo la uchaguzi na ukaleta usumbufu wowote kinyume na sheria za uchaguzi utakamatwa utapigwa pingu na tutakuweka nyuma ya nondo mpaka hapo tutakaporidhika Kama kweli wewe siyo Gaidi na hukuwa na Nia mbaya na wapiga kura wengine pamoja na wagombea wetu wa uraisi wabunge na madiwani
 
Hautauwawa na vikosi vya usalama Bali ukileta fujo eneo la uchaguzi na ukaleta usumbufu wowote kinyume na sheria za uchaguzi utakamatwa utapigwa pingu na tutakuweka nyuma ya nondo mpaka hapo tutakaporidhika Kama kweli wewe siyo Gaidi na hukuwa na Nia mbaya na wapiga kura wengine pamoja na wagombea wetu wa uraisi wabunge na madiwani

Hakuna anayeleta fujo kama hamna nia ya kuchakachua kura. Kheri au shari mtachagua nyie.
 
JIULIZENI NYIE WAPIGA DEBE WA CCM KWANINI CCM NA SERIKALI WAMEPANIC KM LISSU HAKUBALIKI? NA WANAENDA TU KUMSHANGAA

YANI WATU WAKIENDA KWA MAGU NI WAPIGA KURA ILA KWA LISSU NI WANAENDA TU KUMSHANGAA AMA KWELI DUNIANI MAAJABU HAYAISHI

JIULIZENI NINYI WAPIGA DEBE KWANINI DSO'S NDIO WANATOA MAELEKEZO KWA RO'S NA WANAFANYA VIKAO KUTWA KUCHWA

KWANINI MAKAMANDA WA TAKUKURU WANAFANYA KUPITISHA MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO?? ACHENI UJINGA NYIE CCM ISHAKATALIWA WANATEGEMEA DOLA

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna anayeleta fujo kama hamna nia ya kuchakachua kura. Kheri au shari mtachagua nyie.
Sisi tutafuata sheria na atakayeleta fujo vyombo vyetu viko imara Hilo nakueleza bila kupepesa macho vyombo vya usalama viko alert kwa anything bad happen vitafanya kazi yake kwa mujibu ya mafunzo yao

Mimi nawatahadharisha tu wale wasiotaka kutii na kufuata sheria za uchaguzi kuwa tuko imara Sana na tumekamilika Sana safari hii
 
Sisi tutafuata sheria na atakayeleta fujo vyombo vyetu viko imara Hilo nakueleza bila kupepesa macho vyombo vya usalama viko alert kwa anything bad happen vitafanya kazi yake kwa mujibu ya mafunzo yao

Mimi nawatahadharisha tu wale wasiotaka kutii na kufuata sheria za uchaguzi kuwa tuko imara Sana na tumekamilika Sana safari hii

Sisi tutafuata haki. Tahadhari yako hatuiihitaji.

Tumedhamiria sana safari hii. Bottom line tunalinda kura zetu zote kubakia salama na matokeo kutangazwa kama yatakavyo kuwa.
 
Ni kweli kushinda Tundu Lissu itakuwa ndoto ya mchana na ishara ni Jana maana Simba imefungwa na benders yao nyekundu basi na Chadema nao kesho Keisha maana benders yao nyekundu pia ni logical tu lakini.....mchana kweupe Dr Magufuli ataapishwa tarehe 7 au 8 November 2020 nadhani
 
Nimefuatilia kampeni za uchaguzi kwa wagombea wa nafasi ya uraisi 15 huku wengine wakishindwa kufanya kampeni na wengine kujitoa na huyu Tundu Lissu kupata wafuasi wengi lakini wanaokwenda kumshangaa kupona kufa baada ya risasi 38 na 16 kumpata mwilini.

Majority ya Watanzania wana imani kubwa sana na Serikali ya awamu ya 5 kutokana na yale yaliyofanyika hivyo sio rahisi kwa Tundu Lissu kushinda uchaguzi

Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu kwa asilimia kubwa kutokana na Watanzania kujenga imani naye.

Matamshi ya Tundu Lissu na Maalim Seif kwenye uchaguzi huu ni matamshi ya shari na sio ya amani na Watanzania hawapendi machafuko hivyo sio rahisi kabisa kushinda.
Mm nampenda sana Lissu lakini kusema ukweli maelekezo na vitisho vinavyotolewa na wakurugenzi kuhakikisha Magufuli anapata kura nyingi ndoo vinanionyesha Lissu hawezi shinda.Maelekezo tumpewa kuhakikisha nafasi ambazo watu hawatakuja kupiga kura kuhakikisha wasimamizi wanazipiga kwa ktiki Magufuli.Eti kila kituo Magufuli ashinde kura zaidi ya 95% ili awe popular president ili dunia itbue kuwa amefanya mengi ndani ya nchi.

Na watumishi wengi ndoo wasimamizi na wanaonyesha ni lazima wafanye hivyo ,mm jana niliwaambia baadhi ya watumish wanaosimia kuwa tunaenda kutenda hii dhambi lakini itatutafuna mpaka vizazi vyetu kwa sababu tunaenda kupokonya haki ya walio wengi.Hayo maelekezo ya wakurugenzi ni nchi nzima make nimejaribu kuulizia kwenye halimashauri nyingi nyingi wote wanasema wamepewa maelekezo hayo
Nafsi inaniuma kwa dhuluma inayoenda kufanyika alafu eti baadae warumishi tunaanza kulalamika kuwa mishahara haiongenzwi,mara madaraja hakuna na habari ya kikokotoo.
 
Hivi mnabishana nini hapa? Kwa demokrasia na mfumo upi? Shikamoo Jecha 🙏
 
Back
Top Bottom