Uchaguzi 2020 Tundu Lissu hawezi kushinda Uchaguzi wa 2020, Dkt. Magufuli ana nafasi kubwa ya kushinda

Msijaribu kuiba kura ,Tz itageuka Syria nyengine. Naona mnaota kulitoboa jahazi katikati ya mkondo tena kizani .
Matokeo yake mtayaona
Vikosi vyetu viko imara Tena usije ukajaribu kabisa
 
Unaweza kuthibitisha kauli yako with vivid examples??
Ninao wengi tu hapa nyumbani Kimara Baruti, njoo uwaone hata kadi za kupiga kura hawana, wao kazi yao kujaziwa bodaboda mafuta na buku 5 ya maji basi benders kubwa barabarani mpaka. Viwanja vya kampeni
 
CCM inajua fika haiwezi shinda, na ndio maana unaona mizengwe mingi wafanyiwayo wapinzani. Weka tume huru ya uchaguzi, utaaibika kwa uliyasema.
 
Kamwulize jiwe au kabudi. Kwani hawajui kikinuka wapambe nuksi mwisho wenu huwa humu JF?
Tz nchi ya amani Sana hakuna fujo yoyote itatokea labda vyombo vyetu vya dola vichokozwe na baadhi ya wahuni wa kisiasa
 
CCM inajua fika haiwezi shinda, na ndio maana unaona mizengwe mingi wafanyiwayo wapinzani. Weka tume huru ya uchaguzi, utaaibika kwa uliyasema.
Hata Tume iliyopo ni huru Ila wewe kichwa chako hakitaki kuamini Kama ni Tume huru
 
Tz nchi ya amani Sana hakuna fujo yoyote itatokea labda vyombo vyetu vya dola vichokozwe na baadhi ya wahuni wa kisiasa

Bottom line, hatutahalalisha ushindi wa wizi kwa:

1. Kujihimu vituoni
2. Kuhakikisha mawakala wetu wapo kamili gado kabla ya kura
3. Tunapiga kura
4. Tukimaliza kupiga kura hatuondoki
5. Matokeo mtatutangazia kituo kwa kituo.

Kwa taarifa yenu JKNIA kulikwisha kwa amani kwa uchaguzi wenu.

Hili pia litakwisha kwa amani au kwa shari, ni chaguo lenu.
 
Nimefuatilia kampeni za uchaguzi kwa wagombea wa nafasi ya uraisi 15 huku wengine wakishindwa kufanya kampeni na wengine kujitoa na huyu Tundu Lissu kupata wafuasi wengi lakini wanaokwenda kumshangaa kupona kufa baada ya risasi 38 na 16 kumpata mwilini.

Majority ya Watanzania wana imani kubwa sana na Serikali ya awamu ya 5 kutokana na yale yaliyofanyika hivyo sio rahisi kwa Tundu Lissu kushinda uchaguzi

Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu kwa asilimia kubwa kutokana na Watanzania kujenga imani naye.

Matamshi ya Tundu Lissu na Maalim Seif kwenye uchaguzi huu ni matamshi ya shari na sio ya amani na Watanzania hawapendi machafuko hivyo sio rahisi kabisa kushinda.
Hii ipo wazi ambacho napata shida kuamini ni kwamba Mbowe anaweza asirudi Bungeni.
 
Bottom line, hatutahalalisha ushindi wa wizi kwa:

1. Kujihimu vituoni
2. Kuhakikisha mawakala wetu wapo kamili gado kabla ya kura
3. Tunapiga kura
4. Tukimaliza kupiga kura hatuondoki
5. Matokeo mtatutangazia kituo kwa kituo.

Kwa taarifa yenu JKNIA kulikwisha kwa amani kwa uchaguzi wenu.

Hili pia litakwisha kwa amani au kwa shari, ni chaguo lenu.
Piga kura nenda home ukibaki kituoni Kuna Jambo unalitafuta na utalipata
 
Back
Top Bottom