Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,378
wanachadema wenzangu taarifa kama hizi si za kupuuza hasa katika hiki kipindi kigumu,hivyo ni muhimu kwa watu walio karibu na tundu lissu kumueleza haya na kama ni kweli ni kuyafanyia kazi! 2015 hatutakiwi kuacha jimbo jamani!
I second on you, Binafsi napenda nione mabadiliko chanya katika nchi yangu na sii kushabikia kila kitu kinacho enda kinyume na wana-chadema.. Kama kweli Wild fauna ni mwana-jimbo huko singinda ni vyema mawazo yake yachukuliwe kwa busara na si kupinga tu.
Binafsi naona chadema kwa sasa waelekeze Nguvu zao huko vijijini na si kila leo kuitisha mikutano mijini..
Naongea hivi kwa lengo la kukijenga chama ki-ushauri napenda nione chadema wakifanya kile kinachotarajiwa na wengi..
Last edited by a moderator: