Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
kwani serikali inaanzisha miradi kwa kutegemea michango ya wananchi? Wananchi wanalipa kodi,kodi zao zinaenda wapi? Serikali isipate kisingizio cha kutafuna hela za walipa kodi kwa mgongo wa lisu.ni upumbavu kuanzisha miradi kwa kutegemea michango ya wananchi.kwani pesa ambazo zinanakuwa alocated kwa ajili ya maendeleo ya jimbo yanaenda wapi? Kazi ya mp ni kuipush Gv deliver maendeleo kwa wananchi.hayo ya michango ni mbinu mbadala wa kuwanyonya wananchi in the name of maendeleo.