Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Salamu jf,
Nasikitika kwa mbunge wangu tundu lisu kuamua kulitelekeza jimbo. Mheshimiwa tundu lisu umekua ni mbunge wa kitaifa,umesahau ulipotoka. Tangu uchaguliwe umekuwa hufiki jimboni kuskiliza kero za sisi wananchi wako wa singida mashariki,kwanza unaishi dar na umekua bize sana na kazi zako za uwakili pamoja na kazi za chama.
I declare the interest that mimi ni mwanachadema mkereketwa na wananchi wanalalama sana huku,tafadhali mbunge wangu kumbuka wapiga kura wako. Uzinduzi wa MC4 wa jimbo la kati utakapopita tafadhali apologize kwa wananchi wako. Najua huwa unapita huku sana kwa hiyo ni vyema ukawasikiliza wapiga kura wako.
Naomba kuwasilisha
Nasikitika kwa mbunge wangu tundu lisu kuamua kulitelekeza jimbo. Mheshimiwa tundu lisu umekua ni mbunge wa kitaifa,umesahau ulipotoka. Tangu uchaguliwe umekuwa hufiki jimboni kuskiliza kero za sisi wananchi wako wa singida mashariki,kwanza unaishi dar na umekua bize sana na kazi zako za uwakili pamoja na kazi za chama.
I declare the interest that mimi ni mwanachadema mkereketwa na wananchi wanalalama sana huku,tafadhali mbunge wangu kumbuka wapiga kura wako. Uzinduzi wa MC4 wa jimbo la kati utakapopita tafadhali apologize kwa wananchi wako. Najua huwa unapita huku sana kwa hiyo ni vyema ukawasikiliza wapiga kura wako.
Naomba kuwasilisha