uncledee86
Member
- Sep 11, 2016
- 21
- 25
Sasa mkuu jeshi limewekwa uraiani kwenda kufanya usafi afu uwatoe raia.... Haikua sawa...Wale wa Ukuta nao Uchwara, walituaminisha inyeshe mvua liwake Jua lazima waandamane lakin Leo wameng'oa Magoli na kuyarudisha stoo!!