Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,838
- 71,302
Walipaswa wamuulize JK wakati ule kwa nini anasema Lissu ni hatari kuingia bunge ni kuliko yeye kuukosa urais?Hakika, wengi hawamjui, misukosuko aliyopitia huko nyuma, hii anayopitia sasa nicha mtoto
Ni kuwa kama raisi alikuwa anatambua uwezo wake mkubwa na jinsi alivyoisumbua serikali akiwa nje ya bunge