Tunda sikupata ila na yeye nilimkomesha

hiyo stori yako ni furahisha genge kweli na imenifurahisha,.....kama kwel wanaume wanaeza fanya hivo hakutakua na habari za buzi mee tena
 
kitu ambacho nimekiobserve humu ni kwamba watu wanapenda sana kuwa wakali juu ya mada za watu na kushushua lakin mi sidhan kama hii ndo dhima ya jf coz jf ts all abt gteat thinkers so nawashangaa mnavyopenda umaarufu kupitia mada za wenzenu we kama unaona haikupendez chapa lapa sio kujakukera watu hapa coz usipochangia wewe kuna watu watachangia. Mwaego hata kama stori umeitengeneza ni nzuri na inamafundisho tuu tena mazuri na nimeipenda stori ngapi tunasoma na kusikia nakuona bt si za kweli heko mwaya jacaranda
 
Watu bana. Kwani nani aliwaambia story zote zinazoletwa hapa huwa za kweli?

Mnakuwa kama si magriit sinkaz asee.... Khaa!

Haya binti mmoja anambie hadisi hii imemfundisha nini.....


Mimi ni mama lakini, ila imenifundisha, mtenda akitendewa uhisi kaonewa...
 
Alisisimama mbele yangu huku umbo lake likionekana vizuri kwenye nightdress yake ya pink,akawasha taa ya rangi ya bluu. Akapanda kitandani na kuanza kunipapasa kifuani kisha akaanza kuushusha mkono wake taratibu kuelekea mapajani mwangu.mshawasha wa mapenzi ukanijaa na kunifanya nihisi kama miguu yangu imekufa ngazi.Nikamgeuza na kumuweka chini yangu. Ghafla nikasikia "Jac nilikuwa nataka unikumbatie tu mpaka asubuhi" nikaguna kwa sauti huku nimetoa macho "Inaonekana huna mapenzi kwangu, unachojali ni mimi kukutimizia tu haja zako za kimwili" wakati bado nashangaa akaongezea "hivi kwa nin usinipende jinsi nilivyo na si kwa kile nachokufanyia kitandani?" nilipomtazama usoni nikagundua yuko serious na kwa usiku huo tunda sipati.Nikageukia ukutani na kusinzia

Wiki moja ilipopita nikamtoa out kwenye hotel moja kubwa hapa dar tukapata chakula cha mchana ambacho kilikuwa expensive na kisha tukaaelekea mliman city na kuingia moja kwa moja kwenye duka la nguo za kike.Akajaribu gauni kadhaa ambazo zilimpendeza sana kisha akaelekea kwenye viatu akatafuta viatu ambavyo vitamachi na gauni moja,nikamwambia usiwe na shida tutanunua vyote akajibu lakini swity ni expensive sana hacha nichague gaun moja na viatu vitakavyoendana navyo nikamjibu chukua vyote usiwe na hofu.mmm mara akaelekea kwenye mikufu akachagua mkufu wa dhahabu akauvaa akaniambia "vipi baby hapa nimependeza" nikamjibu yap chukua na huo pia.Waoo alifurahi natamani ungemuona.duu mara akelekea kwenye bikini,akachagua bikini na bra yake vyote vya rangi nyekundu vyenye bei ya laki mbili nikamwambia nahivyo dia weka tu usiwe na hofu.Alikenua meno wewe utafikilia ameshinda bahat nasibu ya sh million 500, aise nataman ungemuona.,nahisi moyoni alikuwa anawaza kweli nimepata buzi.

Alipomaliza akaniambia "Vimetosha baby twende tukalipe" Nimkajibu taratibu kwa sauti ya kistarabu "Baby nilikuwa nataka uvishike tu mikononi kwa muda" akatabasamu huku akiniiambia "ila na wewe baby unavimisemo" nikaendelea "Inaonekana huna mapenzi kwangu,unachojali ni mimi kukutimizia haja zako za shopping tu" akanitazama kwa macho yaliyojaa hasira,nahisi angekuwa na bunduki ningekuwa maiti kwa sasa. Kwa pozi lilelile nikaendelea "hivi kwa nini usinipende jinsi nilivyo na si kwa pesa zangu zinachokufanyia"

Sikijua aliondokaje mle dukani lakini vitu vyote alivyokuwa amevibeba nilishangaa viko sakafuni.Natokea siku hiyo sjamuona tena,Tunda sikupata ila na yeye nilimkomesha.am smart than her aaaaaaah

Watu mna visa!!!!!!
 
Back
Top Bottom