Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
- Thread starter
- #21
Nimependa sana bei ya vifurushi vyenu mkuu,nitawacheki,na bando likikata channel local zote zinabaki? Au ndo ntolee mpaka uwe na kifurushi tu?
Karibu sana
Bundle Likiisha Authorized Channels kwenye Pay TV unaendelea kuziona