Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,130
- 2,762
Tunapofika mwisho wa mwaka, inafaa tujadili mambo tunatakiwa kujihadhari nayo tunapokwenda mbele.
Nasita sasa kulihusisha jina la Nyerere na mambo ninayotaka kuyaandika sasa.
Lakini wote tunataka maendeleo ya kiroho kwa hiyo ni bora tuyajadili mambo ambayo yanaweza kutukwamisha.
Ni mambo gani ambayo tunapaswa kuyaepuka?
Nataka nitoe maoni, from my vantage point, kutokana na mazingara ninayoyaona. Mtu mwingine, aliyepo pengine, ataona mambo tofauti.
Tatizo la kwanza watu wanalopaswa kuepuka ni ngono za jinsia moja. Pia watu waache uzinzi. Utawasikia mapadre na masheikh wanakemea uzinzi.
Ni jambo zuri kukemea uzinzi. Lakini tunapoongea kuhusu uzinzi, nadhani, wakati mwingine tunaongea kuhusu mambo ambayo hayajakatazwa kisheria. Kwa hiyo jambo kubwa la kuzingatia kwanza ni kuwakataza watu wasifanye ngono za jinsia moja.
Sasa, watu lazima waamini kwamba maisha bila laana yanawezekana. Kama itakuwepo hali ya kukata tamaa kuhusu matatizo ya ngono, haya matatizo hayataondoka.
Nilisema tutamsikia Nyerere anaongea jinsi ambavyo hatujamsikia anaongea.
Tatizo lingine ni ulevi. Watu wanahangaishwa sana na ulevi. Sheikh wa Kiislamu mara nyingi namsikia anasema,"Nawausieni ninyi na kuiusia nafsi yangu." Kwa hiyo, kama wapo watu katika familia ya Nyerere walevi, naomba waache ulevi.
Tatizo lingine ni fitina. Fitina imezidi katika jamii. Fitina, maneno ya uongo yanasemwa, yanaleta taharuki katika jamii. Again, masheikh wa Kiislamu, natazama transcripts za Khutba za Masjid Kuu ya Makka, naona neno "fitna"linatajwa tena na tena.
Kwa hiyo nikitazama naona kwamba haya ni mambo ambayo tunapaswa kujihadhari nayo.
Nawatakia wote Happy New Year.
Nasita sasa kulihusisha jina la Nyerere na mambo ninayotaka kuyaandika sasa.
Lakini wote tunataka maendeleo ya kiroho kwa hiyo ni bora tuyajadili mambo ambayo yanaweza kutukwamisha.
Ni mambo gani ambayo tunapaswa kuyaepuka?
Nataka nitoe maoni, from my vantage point, kutokana na mazingara ninayoyaona. Mtu mwingine, aliyepo pengine, ataona mambo tofauti.
Tatizo la kwanza watu wanalopaswa kuepuka ni ngono za jinsia moja. Pia watu waache uzinzi. Utawasikia mapadre na masheikh wanakemea uzinzi.
Ni jambo zuri kukemea uzinzi. Lakini tunapoongea kuhusu uzinzi, nadhani, wakati mwingine tunaongea kuhusu mambo ambayo hayajakatazwa kisheria. Kwa hiyo jambo kubwa la kuzingatia kwanza ni kuwakataza watu wasifanye ngono za jinsia moja.
Sasa, watu lazima waamini kwamba maisha bila laana yanawezekana. Kama itakuwepo hali ya kukata tamaa kuhusu matatizo ya ngono, haya matatizo hayataondoka.
Nilisema tutamsikia Nyerere anaongea jinsi ambavyo hatujamsikia anaongea.
Tatizo lingine ni ulevi. Watu wanahangaishwa sana na ulevi. Sheikh wa Kiislamu mara nyingi namsikia anasema,"Nawausieni ninyi na kuiusia nafsi yangu." Kwa hiyo, kama wapo watu katika familia ya Nyerere walevi, naomba waache ulevi.
Tatizo lingine ni fitina. Fitina imezidi katika jamii. Fitina, maneno ya uongo yanasemwa, yanaleta taharuki katika jamii. Again, masheikh wa Kiislamu, natazama transcripts za Khutba za Masjid Kuu ya Makka, naona neno "fitna"linatajwa tena na tena.
Kwa hiyo nikitazama naona kwamba haya ni mambo ambayo tunapaswa kujihadhari nayo.
Nawatakia wote Happy New Year.