JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Makamanda, tunaomba ratiba rasmi na inayoeleweka ya M4C ya makamanda huku kusini kwani hatujajua kuwa leo, kesho na keshokutwa makamanda watakuwa kwenye wilaya/jimbo gani kwa hapa Mtwara na hata Lindi. Ratiba jamani kwani tulioko huku wakati fulani tunapata ratiba feki na zisizo rasmi! Asanteni makamanda, tuko pamoja na hakunaga kama CHADEMA.