residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,069
- 9,661
Yaani badala ya kutekeleza majukumu yako ya ualimu huko Manyara,unahorojoka JF asubuhi asubuhi.Tumia akili, Bashugwa ni waziri ulitegemea aseme kinyume na maamuzi ya baraza la mawaziri ambayo mwekiti wake ni Rais? Tutumie akili sazingine.
Kwa walimu kama wewe,elimu yetu kuwa hivi na kuwa na wajinga wengi waliopoteza muda kwenye vyumba viitwavyo madarasa ni halali.