payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Duh kuna watu wana hasira humu ndani! wakati ukienda mbali zaidi ukiwakuta wao kwa wao wanaanza tena kubaguana, mara ooh huyu kavaa suruali fupi...mara huyu ndefu...mara ooh huyu wakati anamuita sheitwani huwa anaelekea magharibi na mimi huwa naelekea mashariki hivo hatufanani!
Yaani Mafisadi kazi yao ni kuwapa vipande vidogovidogo ili muendelee kufarakana, Mkishtuka mnakuta nchi imeshabaki mashimo matupu!
Mchague Dr. Slaa Kwa Maendeleo ya Taifa!
Yaani Mafisadi kazi yao ni kuwapa vipande vidogovidogo ili muendelee kufarakana, Mkishtuka mnakuta nchi imeshabaki mashimo matupu!
Mchague Dr. Slaa Kwa Maendeleo ya Taifa!