amicky008
Member
- Jan 6, 2019
- 15
- 20
Tanzania, nchi yenye uchumi Wa kati inakumbwa na changamoto ya ukatikaji wa umeme mchana wakati wa shughuli za kujenga taifa na biashara.
Wakati huo wanatuwashia umeme usiku tupepewe na feni
Bila kujua kuwa Kuna watu wanategemea umeme walipe waingize kipato na walipe Kodi
Hii nch tutafika kweli
Wakati huo wanatuwashia umeme usiku tupepewe na feni
Bila kujua kuwa Kuna watu wanategemea umeme walipe waingize kipato na walipe Kodi
Hii nch tutafika kweli