Tunaibiwaaaaaa! Jamani wateja wa Vodacom someni hapa!

Ndugu hao ni voda mi nimejuta kukopa tigozamani ukikopa unaambiwa sh 400 unalipa sh 440 baada ya kutumia unatumiwa msgdeni lako ni sh 960 unajiuliza limefika wapi sasa jana nimechoka kabisa nimekopa840 nikapiga tigo kidogo nikatumia salio lako alitohelezi ongeza duh nikawa hoibaada ya muda natumiwa msg deni lako la awali ni sh 1320 yaani nilipoingiza 2000wapendwa nilibakizwa sh 347 tzs nimewapigia tigo wamedai wataangalia yaaniniko hoi najiuliza wanaiba ngapi kwa mwaka
jitahidi kutokukopa ni wizi mtupu..
 
Ngoja nifanye mpango wa kuanzisha kampuni ya simu unalipia gharama za uendeshaji tu. All services fixed rates at cost. Kama NGO hakuna faida, sema tu wafanyakazi mishahara yao itakuwa mara mbili zaidi ya kampuni za sasa hivi za simu.

Ngoja JMK arudi Malaysia nikakope mtaji.

Au we J. Makamba upo? Nasikia juzi umelamba US$ 2M. Sasa lete tuwarudishie wa Tanzania wafaidike kwa mawasiliano.

una vituko sometime mpaka basi ili hii imetulia sio wanapewa halafu wanaficha sio!!!!!
 
Tena kuna wizi mwingine wanauendesha, kuna program wameianzisha inaitwa swaga music, cku ya kwanza walisema ni bure mi nikajaribu kujiunga nione, nilipousikiliza kucheki salio nikakuta nimekatwa chenji ya kutosha, mbaya zaid juzi wameniunganisha tena bila mwenyewe kutaka na wamenikata salio la kutosha bila hata kuusikiliza huo muziki mwenyewe. Kama kuna mtu anajua jinsi ya kujiondoa tafadhali anijuze
 
Ni vizuri watanzania mkalichunguza hilo na kujiridhisha kabla ya kulifikisha kwenye mamlaka husika kwa ajili ya hatua za kisharia
 
hafadhali wizi wa voda kuliko tigo
wanadai ukope salio,halafu lile salio utaweza piga na kutuma sms bila shida.mbona haiwi displayed pindi ukiuliza balance kama salio zingine? ukimaliza piga simu ama kutuma msg basi kuna msg inakuja inasoma salio lako limebaki kiasi gani!!!!!! SI WIZI HUU,???
na ukiongeza salio unakatwa lile ulilokopa mwanzo hata km hujui vocha ulokopa imeisha ama la.TIGO JIREKEBISHENI KWA HILO.
 
Ni vizuri watanzania mkalichunguza hilo na kujiridhisha kabla ya kulifikisha kwenye mamlaka husika kwa ajili ya hatua za kisharia
@Barubaru, uchunguzi umekamilika na hapa kinachofanyika ni kukusanya ushahidi zaidi ili hatimaye hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya Vodacom. Hivi sasa tunavyoendelea kuchangia mada, bado wizi huu unaendelea kwa spidi ile ile!
 
Vodacom ni moja kati ya Makampuni yaliyochangia kampeni za CCM katika Uchaguzi Mkuu 2010. hivi mnafikiri Fedha zao walizochangia kampeni wanazirudishaje? .
Tafakari, Chukua Hatua
 
Mnaolalamika mnatakiwa kujua simu yako bila mobile network ni sawa na kopo la chooni, haina uhai na ndio maana muda wote inakuwa ina-scan na network, kwa hali hiyo kuna hidden gharama zinajitokeza. Basi linapotembea barabarani bila abiria halitumii gharama?acheni hizo!.

Hapa Umechemka
 
Naona ukitaka prove inabidi uwe na simu ya tochi as haya masimu ya siku izi yanakamua ndani kwa ndani bila kujua hasa updates ila kwa tz ilo lawezekana kama watu wanaiba twiga na ukubwa wote ule sembuse vocha

:happy: umenifanya nicheke kwa sikitiko
ni kweli aisee watu wanaiba wazi kabisa,twiga?
 
kuna ile mamlaka ya nini sijui nimesahau jina(kipindi chake kilirushwa na TBC na mjeda mmoja uko lindi/mtwara alikua anatoa ushuhuda wake alivoshtaki kampuni fulani)
lakini inashughulikia haki za mtumiaji wa huduma mbalimbali
so kama una shida kama hizi unafikisha kesi iyo hapo kwao
na wanaaza kulishughulikia...kashtakini hapo!!
 
kuna ile mamlaka ya nini sijui nimesahau jina(kipindi chake kilirushwa na TBC na mjeda mmoja uko lindi/mtwara alikua anatoa ushuhuda wake alivoshtaki kampuni fulani)
lakini inashughulikia haki za mtumiaji wa huduma mbalimbali
so kama una shida kama hizi unafikisha kesi iyo hapo kwao
na wanaaza kulishughulikia...kashtakini hapo!!
Process yake yataka moyo na uwe na muda wa kufuatilia...
 
Vodacom ni moja kati ya Makampuni yaliyochangia kampeni za CCM katika Uchaguzi Mkuu 2010. hivi mnafikiri Fedha zao walizochangia kampeni wanazirudishaje? . Tafakari, Chukua Hatua
Leo ni siku ya tano tangu nianzishe thread hii, Vodacom wameuchuna tuwaeleweje? Mwamvita Makamba naomba uweke mambo hadharani, maana mimi ni mteja wa Vodacom wa kudumu na sina mpango wa kutupa laini yangu. Mnyonge, mnyongeni, ila haki yake mpeni! Au kwenu nyie Vodacom mteja sio mfalme?
 
Mimi nina simu yangu ya nokia 2300, ndo nimeangalia salio na sitapiga simu wala kutuma msg, nitarudi.
 
kwa ujumla mitangao yote tanzania ni WEZI WATUPU mana airlet ukiongea na voda au voda ukaongea na tigo au tigo ukaongea na zantel unakuta vile viwango walivyosema wana kukata kwenda mtangao mwingine wanakata zaid hapo ndo unapochoka kabisa sijui wanafidia yan TANZANIA MITANDAO YETU NI WIZI MTUPU
 
Mimi nina simu yangu ya nokia 2300, ndo nimeangalia salio na sitapiga simu wala kutuma msg, nitarudi.

Nimesubiri kwa muda wa saa nzima, nimeangalia salio langu liko vile vile hakuna kilichobadilika, nadhan mleta mada huenda akawa ame subscribe baadhi ya huduma ambazo anachajiwa naomba aangalie vizuri, nitajaribu kutumia tena simu yenye huduma ya 3G nione inakuwaje.
 
Usiwatetee jamaa yangu nimefika hapa kwa sababu ni mara ya pili leo napokea kifurushi hewa cha cheka internet cha voda cha T sh 500 ambapo ni mb 20 tz wizi mtupu
 
distazo umeongea vizuri....jambo lingine la kuchunguza ni kwamba, Je unapoangalia salio, hakuna charges?
Mnaolalamika mnatakiwa kujua simu yako bila mobile network ni sawa na kopo la chooni, haina uhai na ndio maana muda wote inakuwa ina-scan na network, kwa hali hiyo kuna hidden gharama zinajitokeza. Basi linapotembea barabarani bila abiria halitumii gharama?acheni hizo!.
 
Last edited by a moderator:
Mimi wizi huo nimeugundua siku nyingi, lakini sio huo tu; wakati mwingine naomba kifurushi cha cheka internet cha shs 500, fedha zinakatwa lakini kifushi upewi! ukijaribu kufuatilia unagonga mwamba.


Kweli. Mimi hii imeishaniokuta mara mbili. Kibaya zaidi ni kuwa waliowekwa costumer-care ni vibuyu waiz ambao kazi yao ni kubisha tu kuwa "Haiwezekani!" kwa kila unachowaambia.
 
Back
Top Bottom