Tunaibiwaaaaaa! Jamani wateja wa Vodacom someni hapa!

kaa wabongo noma. Eti ka tsh. 0.08 kwa masaa 2 ndo kanawsumbua? Voda inajathd sana kusaidia jamii, nyie mnataka pesa watoe wapi? Mnaacha kuwashambulia mafisadi wakubwa ie mapacha watatu mnaanda voda ambayo haikumalizii hata tsh. 1.0 kwa siku. Acheni hzo jamani.
sio sababu ya kuibia watu pesa zao, km investor anapaswa percent ya profit yke anufaishe jamii. Mwitikio wa watanganyika kujiunga na mtandao wao n ishara tosha yakupewa support na watanganyika, hvyo basi hawana budi kupayback kwa njia ya misaada. hivi nikuulize jirani yako akikupa chance ya kaz kwny kampun yake,then ukasikia anamlaghai binti yko under 18.je utamkenuli meno ksa kakupa kaz? Ama.Amka great thinker.
 
unatumia simu aina gani na je ina applicatoons ambazo zinahitaji internet connectivity/zinaji-update auto? Natumia Ideos na inafanya background updates na nashindwa kuthibitisha
I thought what Vodacom are charging me for 'mobile internet' services are too low comoared to what am gaining. Nasoma na kutuma mails, nakuja JF nikiwa idle, nasoma BBC, CN9, Al-jazeera nk.Nashangaa sioni tena kale ka meseji kanakoniambia kwamba 'browers' yangu imepitwa na wakati, naona kamejirekebisha kenyewe.
 
najaribu af ntarudi bana! nkikuta kweli wala sijisumbui kwenda popote naipotezea tu line hii period! kwa nji hii mahakama ni upotezaji wa muda,huko tena watakuzingua loool
 
You'll be terrified by this fact; yaani hata kama simu yako yenye line ya Vodacom umeizima kabisa, utakapoiwasha after 1hour utakuta wameshaiba shs.0.04! This is too much, stop Vodacom, stop stealing from your customers! It's a huge sum of money you're stealing from your over 4million customers country-wide!
 
Naona ukitaka prove inabidi uwe na simu ya tochi as haya masimu ya siku izi yanakamua ndani kwa ndani bila kujua hasa updates ila kwa tz ilo lawezekana kama watu wanaiba twiga na ukubwa wote ule sembuse vocha
hii imekaa vyema!
 
Mnaolalamika mnatakiwa kujua simu yako bila mobile network ni sawa na kopo la chooni, haina uhai na ndio maana muda wote inakuwa ina-scan na network, kwa hali hiyo kuna hidden gharama zinajitokeza. Basi linapotembea barabarani bila abiria halitumii gharama?acheni hizo!.
 
Kuna mwingine alikuja na wizi wa tigo akadai usiku hela inakatwa nikachunguza ila haikuwa kweli. Ngoja tucheki hili la voda.

............ hii mitandao noma ! ukiona ofa usikimbilie ! mie tigo wamenilamba tsh 1,500/ kupiga kenya for 5minutes, hakunipa hiyo service na sijui jinsi ya kudai pesa yangu, cutomer service ndio huwapati kabisaaa, na kibaya wanakuchaji ikiomba huduma ya customer service ....... wizi wa kijinga kijinga unauma kuliko wizi wa jumla ! ikiibiwa pochi yenye laki, unaibiwa mara moja tu ! lakini kila siku shs .50 ! amekufanya ***** !
 
Mnaolalamika mnatakiwa kujua simu yako bila mobile network ni sawa na kopo la chooni, haina uhai na ndio maana muda wote inakuwa ina-scan na network, kwa hali hiyo kuna hidden gharama zinajitokeza. Basi linapotembea barabarani bila abiria halitumii gharama?acheni hizo!.
Hiyo kali! Great Thinker au umezamia? Huo ni wizi na kuna mwingine wa kubadili rate masaa flani kwa cent kidogo tu ila watanzania tulivyo utashangaa mtu atakwambia cent 5 si kitu, lakini mwizi akatengeneza millioni kadhaa kwa siku
 
kaa wabongo noma. Eti ka tsh. 0.08 kwa masaa 2 ndo kanawsumbua? Voda inajathd sana kusaidia jamii, nyie mnataka pesa watoe wapi? Mnaacha kuwashambulia mafisadi wakubwa ie mapacha watatu mnaanda voda ambayo haikumalizii hata tsh. 1.0 kwa siku. Acheni hzo jamani.

kama comments ndo hizi? basi mjomba ana kazi "kubadilisha dunia kuwa kijiji?"
 
kaa wabongo noma. Eti ka tsh. 0.08 kwa masaa 2 ndo kanawsumbua? Voda inajathd sana kusaidia jamii, nyie mnataka pesa watoe wapi? Mnaacha kuwashambulia mafisadi wakubwa ie mapacha watatu mnaanda voda ambayo haikumalizii hata tsh. 1.0 kwa siku. Acheni hzo jamani.

ehee, umezoea keep change eti?
 
kaa wabongo noma. Eti ka tsh. 0.08 kwa masaa 2 ndo kanawsumbua? Voda inajathd sana kusaidia jamii, nyie mnataka pesa watoe wapi? Mnaacha kuwashambulia mafisadi wakubwa ie mapacha watatu mnaanda voda ambayo haikumalizii hata tsh. 1.0 kwa siku. Acheni hzo jamani.
TUTAJIE HAO MAPACHA WATATU .......!n
 
Wizi mwingine upo kwenye ile huduma ya cheka. Mfano ukitaka kupata sms 5 kwa kupiga *147*100#, wanakupa sm 5 ( wao wanasema eti ni bure) kwa sh 100.

Wizi unaanzia pale ambapo umejua sms zako 5 zimeisha na unataka tena kuongeza sms nyingine 5, huduma haikubali ku-accept *147*100# mpaka utume sms nyingine ya sita, na watakukata kwa gharama ya juu kufidia zile sms 5 wao walizodai ni za bure.
Huu ni wizi wa hali ya juu kuwahi kubuniwa tz.

Airtell huduma yao ni ya ukweli, ukituma sms 3, unapewa sms 100, bila longolongo.
 
Tanganyika1 hazikutoshi. Umesahau kwamba kidogokidogo hujaza kibaba? Hebu tega mikono tukuchangie wewe kiasi hicho cha pesa walau kwa siku moja tuone utapata kiasi gani.
 
kaa wabongo noma. Eti ka tsh. 0.08 kwa masaa 2 ndo kanawsumbua? Voda inajathd sana kusaidia jamii, nyie mnataka pesa watoe wapi? Mnaacha kuwashambulia mafisadi wakubwa ie mapacha watatu mnaanda voda ambayo haikumalizii hata tsh. 1.0 kwa siku. Acheni hzo jamani.
jaribu kusoma mchanganuo wake kwa makini.Kwa muda mrefu nimekuwa nafuatiliana kuchunguza kinachoendeleakatika mitandao mbalimbali ya simuhapa nchini. Leo naona ni sikumwafaka kuweka bayana jinsi Vodacom inavyoibia wateja wakekama ifuatavyo: Leo asubuhi saa10:48 salio langu lilikuwa shs.278.21 -saa 11:33 ni shs.278.17 - saa 12:29 nishs.278.15 na saa 12:43 nishs.278.13. Yaani salio linajipunguza lenyewe automatically bila ya kuitumiasimu yako kwa rate ya shs.0.08 kilabaada ya masaa mawili. Ndani yamasaa 24, tayari nakuwa nimeibiwana Vodacom toka kwenye salio langukiasi cha shs.0.96. Hivyo basi ukichukulia kwa uchache tu, kiasi chawateja milioni mbili wa Vodacom nikwamba tunaibiwa jumla yashs.1,920,000/= ndani ya siku mojatu! Ukichukulia kwa mwaka mzima,wateja hao hao milioni mbili tunaibiwa jumla ya shs.702,720,000/=. To provethis; hakikisha salio lako kwenye lainiyako ya Vodacom, kisha usipige simuwala kutuma sms ila angalia salio kilabaada ya masaa mawili utaonakinachoendelea.
 
Bila shaka umetumwa na AIRTEL ili kuwaharibia VODA siyo? Watu kama nyie mpo wengi sana, kwa jina moja tu VIBARAKA. Nimefanya uchunguzi kwa simu ya tochi tangu jana saa 12:00 jioni na sijaona wizi wowote
 
Wizi kweli upo, ni ule wa kubadili rate kimya kimya, lakn hiki nacho kipya kinahitaji uchunguzi zaidi na tena wa watu wengi ili wote na mwafaka thabti.
 
Back
Top Bottom