Tumwambie mumewe ukweli au?

Frankly, hii naona kama ni story tu. 'HR' amekaa pembeni anaacha watu wanabishana issue ambazo angeweza kuzitolea ufafanuzi na conclussion ikapatikana kirahisi tu.
 
Barua ya kumsimamisha kazi (heading yake) inasemaje? Kwa sababu usije ukamdanganya Mr. wake akadai kopi au wanoko wameshampa kopi sasa anataka uthibitisho kutoka kwako maelezo yakapishana au mmewasimamisha bila maandishi? Eleza Mkuu

Wewe ni intelijensia, kwa kweli kutoka kwako nimeconclude kuwa story hii ni ya kutunga.Kama kuna barua ya kusimamishwa kazi basi mumewe apewe kopi ama akamuulize mke wake ampe barua ya kusimamishwa kazi maana nachojua barua ya kusimamishwa kazi lazima ina maelezo yanayojitosheleza
 
Mkuu fuata kanuni na taratibu. Wewe huwajibiki kwa mume wa huyo mwanamke. Kama ameandika barua ya malalamiko, mjibu tu kuwa kwa mujibu wa taratibu za kampuni hamuwajibiki kwake, hivyo awasiliane na mkewe kuhusu sababu za kusimamishwa kwa mkewe na kama hakuridhika na majibu ya mkewe basi amshauri mkewe afuate utaratibu kufikisha malalamiko katika vyombo husika vinavyosimamia maslahi ya wafanyakazi.
 
.........Malipo ni hapa hapa duniani, tena subiri nikamwambie bro kumbe shem kasimamishwa kwa uzinzi!!
 
Waongezeni mishahara ili wamudu kulipia hotel, manake kwa mshahara wa sasa inaonekana wanamudu guest rooms ambazo kimsingi zina tofauti ndogo na vyumba vya ofisi zenu.

Kisha waonyeni na kuwakumbusha kazi za ofisi.
Maamuzi ya kumwambia au kutokumwambia mumewe yazingatie zingatio kuu la kazi ambalo ni TIJA. Kama kwa kumwambia "mzee" shirika litapata profit share au dividend basi itumieni fursa kama shirika/kampuni kukuza mtaji, kinyume chake ni shida, pia pitieni job description zenu ikiwa kuna kipengele kinaonyesha mnawajibika kwa "mzee" basi msikawize majibu yaliyonyooka kama moja.

Option ya kumsaidia huyo mama kama alivyoomba ina mambo muhimu ya kuzingatia,

Ni lazima upatikane msaada ambao kimantiki hautapoteza maana ya kusaidiwa lakini utakaotengeneza kuijutia na kuichukia dhambi ile kiasi kwamba awe mwalimu mzuri kuhubiri wengine wasithubutu.

Biblia inatukumbusha kuwa zama za Sodoma na Gomorah ni nabii Lutu pekee aliyekuwa mkamilifu, ukamilifu wa Lutu uliwaokoa Mkewe na watoto wake ambao kwenye kundi la ukamilifu hawakukutikana kwa mujibu wa malaika.

Sasa basi "mzee" na watoto ambao hawasomeki kuikosea ofisi yenu wamuokoe mama yao kwenye tufani linalowanyemelea kama familia.

"Hekima hainunuliwi na hakuna kozi za busara"
 
Kwani kwenye barua ya kuwasimamisha mliandika nini?
Mwambieni amuulize mkewe; kwani yeye ndiye aliyeajiriwa.
 
Pole kwa huu mtihani mgumu. Hilo la kumwambia ukweli mume liepuke hasa ukitilia maanani mke kishakupigia magoti umsitiri kwenye ndoa yake. Ila kama mume yumo humu ndio siri ya mkewe kuhusu kusimamishwa kazi imeshavuja.

Mume sio sehemu ya ofisi ya mkewe na kwa maana hiyo hana haki ya kujua kwa nini mkewe kasimamishwa. Akitaka kujua sababu ya kusimamishwa amuulize mkewe na bwana caxton hana jukumu la kusitiri ndoa isiyomuhusu.

Kwa mke, kosa lake ni la kinidhamu zaidi, ingawa kwa mtazamo wangu sioni kama hilo ni kosa serious sana, kwani hawakusababisha aibu kwa ofisi (kosa halikufanyika sehemu ya public au mebele ya watumishi wengine) na wala halijaleta hasara kwa ofisi, isipokuwa tu ni curiosity ya huyu Canadian. Hivyo ofisi ndiyo yenye kuamua adhabu stahiki kulingana na uzito wa kosa.

Nadhani adhabu ya onyo kali inatosha zaidi hasa kwa vile tayari wanabeba aibu ya mambo yao kujulikana.

CC: caxton
 
Ndugu yangu, huyo mama hakufa kwamba sasa familia au mume apewe taarifa ni kitu gani kimesababisha kifo chake akiwa kazini. Yuko hai na anao wajibu wa kumueleza mumewe ni kwa nini amesimamishwa kazi, ofisi haina huo wajibu kwa mume. Period

Tiba

Wakuu nimefuatilia mawazo yenu kwa kina kwa kweli yana mchango mkubwa sana katika kuleta tija

Niseme tu kwamba kampuni yetu haiwajibiki kumjibu huyu mume Wa huyu mama ila pia haizuiliwi na taratibu zetu kufanya hivyo ni busara inayopaswa kutumika zaidi

Kama viongozi pia limetusumbua sana hadi kuhusisha mwanasheria Wa kampuni kutusaidia kulielewa hili, maana mume aliandika kwenye barua kwamba yeye ni mwakilishi Wa mkewe katika kesi hii ingawa hakutaka kusema yy ni mwanasheria au la
That's why nikampa tarehe ili tujadiliane ndani kupata mawazo zaidi maana anasema kuwa nanukuu. "" ninaiomba ofisi yako inipe Maelezo ya kina juu ya chanzo na sababu za kusimamishwa kazi mke wangu nikiwa kama mwakilishi wake na pia mumewe"" mwisho Wa kunukuu.

It is particularly on this phrase nikapata ugumu Wa kuilewa barua yake, kwamba mwakilishi maana yake nini hasa?

Katika sheria zetu yaani hr manual na company by laws inaeleza kuwa mfanyakazi anaweza kuwakilishwa katika kesi yake na mtu yeyote aliemteua anaeona anafaa
Na tumefanya hivi Mara nyingi hata kesi za fraud, hii ni kwa sababu wanawake wengi ikitokea ana matatizo huwa hawawezi kujieleza au kujisimamia hivyo wengi huwakilishwa na waume zao

Sasa ili mwanaume aweze kumwakilisha mkewe lazima ajue chanzo cha tatizo kwa kina unfortunately katika case hii chanzo ni uzinzi hivyo mkewe mwenyewe ameshaniambia hataki uwakilishi hataki mumewe ajiingize kwenye hili
Anasema hataki Ku fight hii case ni ya kuaibisha utu wake atakubali matokeo

Again hatuna wajibu Wa kumjibu mume lakini hatuzuiliwi kumjibu

Lakini naweza kuijibu barua yake kwa kumwambia hatuwezi kumjibu anachouliza Kutokana na sensitivity of the matter na hivyo kumshauri apate Maelezo kypitia mkewe, na kama ni mwakilishi wake kisheria ni lazima tuambiwe na mkewe

Yote kwa yote mke anaweza Ku fight hii case maana aliewashka ni mtu mmoja hana shahidi mwingine ila wazungu wenzie kwenye management wakamuamini moja kwa moja
Mbele ya safari wote wataitwa mbele ya disciplinary committee wakiwepo na fibuca chama cha wafanyakazi na wawakilishi wao kama wapo
Ingawa kwenye barua mwanamke alikiri kosa na kuomba msamaha mwanaume alikanusha hajashikwa amesingiziwa

Kikazi jambo hili linashughulikiwa kwa mujibu Wa taratibu nilichepuka pembeni kupata mawazo yenu ili kutenda haki
 
Wakuu nimefuatilia mawazo yenu kwa kina kwa kweli yana mchango mkubwa sana katika kuleta tija

Niseme tu kwamba kampuni yetu haiwajibiki kumjibu huyu mume Wa huyu mama ila pia haizuiliwi na taratibu zetu kufanya hivyo ni busara inayopaswa kutumika zaidi

Kama viongozi pia limetusumbua sana hadi kuhusisha mwanasheria Wa kampuni kutusaidia kulielewa hili, maana mume aliandika kwenye barua kwamba yeye ni mwakilishi Wa mkewe katika kesi hii ingawa hakutaka kusema yy ni mwanasheria au la
That's why nikampa tarehe ili tujadiliane ndani kupata mawazo zaidi maana anasema kuwa nanukuu. "" ninaiomba ofisi yako inipe Maelezo ya kina juu ya chanzo na sababu za kusimamishwa kazi mke wangu nikiwa kama mwakilishi wake na pia mumewe"" mwisho Wa kunukuu.

It is particularly on this phrase nikapata ugumu Wa kuilewa barua yake, kwamba mwakilishi maana yake nini hasa?

Katika sheria zetu yaani hr manual na company by laws inaeleza kuwa mfanyakazi anaweza kuwakilishwa katika kesi yake na mtu yeyote aliemteua anaeona anafaa
Na tumefanya hivi Mara nyingi hata kesi za fraud, hii ni kwa sababu wanawake wengi ikitokea ana matatizo huwa hawawezi kujieleza au kujisimamia hivyo wengi huwakilishwa na waume zao

Sasa ili mwanaume aweze kumwakilisha mkewe lazima ajue chanzo cha tatizo kwa kina unfortunately katika case hii chanzo ni uzinzi hivyo mkewe mwenyewe ameshaniambia hataki uwakilishi hataki mumewe ajiingize kwenye hili
Anasema hataki Ku fight hii case ni ya kuaibisha utu wake atakubali matokeo

Again hatuna wajibu Wa kumjibu mume lakini hatuzuiliwi kumjibu

Lakini naweza kuijibu barua yake kwa kumwambia hatuwezi kumjibu anachouliza Kutokana na sensitivity of the matter na hivyo kumshauri apate Maelezo kypitia mkewe, na kama ni mwakilishi wake kisheria ni lazima tuambiwe na mkewe

Yote kwa yote mke anaweza Ku fight hii case maana aliewashka ni mtu mmoja hana shahidi mwingine ila wazungu wenzie kwenye management wakamuamini moja kwa moja
Mbele ya safari wote wataitwa mbele ya disciplinary committee wakiwepo na fibuca chama cha wafanyakazi na wawakilishi wao kama wapo
Ingawa kwenye barua mwanamke alikiri kosa na kuomba msamaha mwanaume alikanusha hajashikwa amesingiziwa

Kikazi jambo hili linashughulikiwa kwa mujibu Wa taratibu nilichepuka pembeni kupata mawazo yenu ili kutenda haki

Asante kwa maelezo ya ziada. Kwa kuwa case yenyewe ni sensitive na HR manual yenu inatoa nafasi ya mtu kumwakilisha mwingine, basi mwambie huyo bwana akuletee barua ya huo uteuzi wa yeye kumsimamia mke wake kutoka kwa huyo mama. Akiileta hiyo barua ya uteuzi kutoka kwa mkewe, mwambie kwa maandishi hicho anachotaka kukijua ingawaje njia rahisi ni yeyeb kumuuliza mkewe kwani mlipomsimamisha hata barua mlimpa.

Tiba
 
Mume sio sehemu ya ofisi ya mkewe na kwa maana hiyo hana haki ya kujua kwa nini mkewe kasimamishwa. Akitaka kujua sababu ya kusimamishwa amuulize mkewe na bwana caxton hana jukumu la kusitiri ndoa isiyomuhusu.

Kwa mke, kosa lake ni la kinidhamu zaidi, ingawa kwa mtazamo wangu sioni kama hilo ni kosa serious sana, kwani hawakusababisha aibu kwa ofisi (kosa halikufanyika sehemu ya public au mebele ya watumishi wengine) na wala halijaleta hasara kwa ofisi, isipokuwa tu ni curiosity ya huyu Canadian. Hivyo ofisi ndiyo yenye kuamua adhabu stahiki kulingana na uzito wa kosa.

Nadhani adhabu ya onyo kali inatosha zaidi hasa kwa vile tayari wanabeba aibu ya mambo yao kujulikana.

CC: caxton

Nakubaliana na wewe mkuu
Niongeze tu kwamba hili linaweza kumfukuzisha mtu kazi katika makampuni binafsi
Hii ni misconduct mbaya sana

Serikalini sheria za kazi hazijalizungumzia sana hili la kufanya mapenzi ofisini ila huku kwenye sekta binafsi makampuni yameweka sheria Kali sana
Sisi kwetu kuna adhabu ya termination, au kushushwa cheo au suspension na written warning

Nisingependa kwenda ndani zaidi kuhusu hii case yetu maana bado inashughulikiwa
 
Aisee hiki ni kisa na mkasa.Kusema ukweli wote tunahitaji kujifunza kutokana na tatizo hili maana kuna wakati waweza zidiwa na penzi ukajikuta unadai kumega ofisini na yakakukuta makubwa kama hawa wenzetu.Kama HR ni lazima uwe transparent.Sababu ya kufukuzwa huwa inaelezwa kwenye barua ya kusimamisha kazi au kufukuzwa kazi afterall,barua hiyo lazima ai sign boss wa kampuni yenu so the issue is straight forward endelea na taratibu za kiofisi mkuu.
 
Aisee hiki ni kisa na mkasa.Kusema ukweli wote tunahitaji kujifunza kutokana na tatizo hili maana kuna wakati waweza zidiwa na penzi ukajikuta unadai kumega ofisini na yakakukuta makubwa kama hawa wenzetu.Kama HR ni lazima uwe transparent.Sababu ya kufukuzwa huwa inaelezwa kwenye barua ya kusimamisha kazi au kufukuzwa kazi afterall,barua hiyo lazima ai sign boss wa kampuni yenu so the issue is straight forward endelea na taratibu za kiofisi mkuu.
 
Aisee hiki ni kisa na mkasa.Kusema ukweli wote tunahitaji kujifunza kutokana na tatizo hili maana kuna wakati waweza zidiwa na penzi ukajikuta unadai kumega ofisini na yakakukuta makubwa kama hawa wenzetu.Kama HR ni lazima uwe transparent.Sababu ya kufukuzwa huwa inaelezwa kwenye barua ya kusimamisha kazi au kufukuzwa kazi afterall,barua hiyo lazima ai sign boss wa kampuni yenu so the issue is straight forward endelea na taratibu za kiofisi mkuu.

Of course, mleta mada is kinda smart be true or fake story but very informative. Mkuu mimi niliandika mwanzoni kuwa HR ni triple center, unalink Wafanyakazi, Mwajiri na Serikali. Uko katikati ndo maana katika kila kampuni HR lazima awe mzawa ni sheria za nchi. Kwahiyo usifanye maamuzi ya kuwafukuza hawa wafanya kazi bila ushahidi zaidi huo alioutoa huyo mzungu.
Nakushauri urudishe issue kwa Management kuwa huwezi kuwachukulia hatua za kuwafukuza kazi bila "physical evidence"UNLESS wao wenyewe kwa maandishi ya mikono yao sio "typed" letters wakiri kuhusika na jambo hilo ingawaje sidhani kama ni wajinga kiasi hicho.

Nakushauri uwarudishe kazini wao wenyewe wataacha kazi kwa aibu au uwafukuze kwa jambo jingine. Lakini sio hili.
 
Mi naomba kuuliza je huyo mama mlimsimamisha kwa maandishi au kwa mdomo kama kwa maandishi mwambieni huyo mzee amuulize mkewe hiyo barua ya kusimamishwa kazi. Nyie kama Ofisi hamtakiwi kudanganya lakini pia Ki ubinadamu mumsaidie huyo mama mzee mumjibu kwa maandishi kuwa sababu za kusimamishwa kazi zimeainishwa kwenye barua ya kumsimamisha aliyopewa mwajiriwa kwani ndiye ofisi inamtambua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom