Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,745
- 10,078
Salam wana jamvi wenzangu,
kwanza kabisa naombeni tumshukuruni BWANA MUNGU kwa wale ambao tumepata mikopo. Jamani mimi binafsi sikutegemea kabisa kupata mkopo kwa sababu nilichagua course ambazo ni non priority!
Jamani nimepigwa na bumbuwazi pale niliposoma jina langu kutoka NIT likiwa na sh3,409,500! Sijaamini kabisa!
Jamani hongereni na wenzangu mliopata mikopo!
kwanza kabisa naombeni tumshukuruni BWANA MUNGU kwa wale ambao tumepata mikopo. Jamani mimi binafsi sikutegemea kabisa kupata mkopo kwa sababu nilichagua course ambazo ni non priority!
Jamani nimepigwa na bumbuwazi pale niliposoma jina langu kutoka NIT likiwa na sh3,409,500! Sijaamini kabisa!
Jamani hongereni na wenzangu mliopata mikopo!