BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
Heheheeee umekuja mama?
Karibu sana nilikumiss sana BADILI TABIA tangu mornie
nimekuja full........
Last edited by a moderator:
Heheheeee umekuja mama?
Karibu sana nilikumiss sana BADILI TABIA tangu mornie
Ok sawa Karibu sananimekuja full........
sio URONGO Arushaone kwa taarifa yako tena yumo humu humu cc! Na kapewa baraka na wake zake wote.
Yummy vipi?? mzima wewe?? jamani kwani hubby wetu amekwenda wapi??Halafu we KARIA acha kumchafua mume wetu......wakeze ni wanne tuuuu!!!! BADILI TABIA asante sana kwa kuwapasha hawa wanaoleta vidomo domo hapa.
nimekuja full........
Natoa taarifa kwa CHIT CHATTERS WOTE kwamba kuna mwenzetu ambaye huwa na wake wanne humu, tangu majuzi hakuna cha zamu wala nini; wakeze wote wako kwake na imekuwa ni bandika bandua akitoka huyu anaingia yule.
Kisa wala si baridi bali kisa ni yeye kupuuza zamu na kunasa zaidi na my wife wake mdogo cacico. Wale wengine wakaungana na kama mnavyoona hata hapa hamumuoni. Kwa muongozo wakeze ni cacico, Yummy, BADILI TABIA na Kongosho aliye pia msimamizi wao.
Ushauri; Auguze wake au azingatie zamu. Wewe unamshauri nini? Na kwa makusudi sijamtaja, je umemgundua ni nani????
Source; Mmoja wa wakeze kani-PM.
bibi mwambie Arushaone kuwa babu yuko na kimwali chake kipyaa! Kile ulichoninong'oneza kuwa kitakuwa ki mke mwenza chako!
Babu Asprin please come zis wei, i ril need to sii yu tafazali...
Halafu we KARIA acha kumchafua mume wetu......wakeze ni wanne tuuuu!!!! BADILI TABIA asante sana kwa kuwapasha hawa wanaoleta vidomo domo hapa.
Yummy vipi?? mzima wewe?? jamani kwani hubby wetu amekwenda wapi??
Niko nae huku mke mwenzangu, kwani hakukuaga??!!! Nitamchapaaa......mie salama tu,nakukuruka na hubby hapa.
tutake radhi watu wa mbeya tuna bahati mbaya kivipi???
Dr. Mwakyembe katahiriwa kichwa cha juu.... Source: Kaunga
Profesa Mwandosya katahiriwa ngozi ya kifua..... Source: King'asti
Dr. Ulimboka katahiriwa naniliyu kama naniliyu ya Kanali Gadafi.... Source: snowhite
Mwangosi (RIP) hivi.... ah ngoja niishie hapa na mambo ya kutahiriwa.....
Ila bahati ni kuwa Mbeya haijafikia kiwango ya Chechnya.......
Tutamsaidieje sasa...
Dr. Mwakyembe katahiriwa kichwa cha juu.... Source: Kaunga
Profesa Mwandosya katahiriwa ngozi ya kifua..... Source: King'asti
Dr. Ulimboka katahiriwa naniliyu kama naniliyu ya Kanali Gadafi.... Source: snowhite
Mwangosi (RIP) hivi.... ah ngoja niishie hapa na mambo ya kutahiriwa.....
Ila bahati ni kuwa Mbeya haijafikia kiwango ya Chechnya.......