Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,135
- 13,254
Natoa taarifa kwa CHIT CHATTERS WOTE kwamba kuna mwenzetu ambaye huwa na wake wanne humu, tangu majuzi hakuna cha zamu wala nini; wakeze wote wako kwake na imekuwa ni bandika bandua akitoka huyu anaingia yule.
Kisa wala si baridi bali kisa ni yeye kupuuza zamu na kunasa zaidi na my wife wake mdogo cacico. Wale wengine wakaungana na kama mnavyoona hata hapa hamumuoni. Kwa muongozo wakeze ni cacico, Yummy, BADILI TABIA na Kongosho aliye pia msimamizi wao.
Ushauri; Auguze wake au azingatie zamu. Wewe unamshauri nini? Na kwa makusudi sijamtaja, je umemgundua ni nani????
Source; Mmoja wa wakeze kani-PM.
Kisa wala si baridi bali kisa ni yeye kupuuza zamu na kunasa zaidi na my wife wake mdogo cacico. Wale wengine wakaungana na kama mnavyoona hata hapa hamumuoni. Kwa muongozo wakeze ni cacico, Yummy, BADILI TABIA na Kongosho aliye pia msimamizi wao.
Ushauri; Auguze wake au azingatie zamu. Wewe unamshauri nini? Na kwa makusudi sijamtaja, je umemgundua ni nani????
Source; Mmoja wa wakeze kani-PM.
Last edited by a moderator: