Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,135
- 13,254
haya mambo si tumeongea tukiwa darasani ,unayaleta huku ili kiwe nini?nikianza kufundisha na wenzio twisheni usilalamike sitimizi wajibu wangu!enh manke na wengine wataanza na mi nataka kipindi nataka kipindi ah!Dr. Mwakyembe katahiriwa kichwa cha juu.... Source: Kaunga
Profesa Mwandosya katahiriwa ngozi ya kifua..... Source: King'asti
Dr. Ulimboka katahiriwa naniliyu kama naniliyu ya Kanali Gadafi.... Source: snowhite
Mwangosi (RIP) hivi.... ah ngoja niishie hapa na mambo ya kutahiriwa.....
Ila bahati ni kuwa Mbeya haijafikia kiwango ya Chechnya.......
Amaaa kweli nimemini gongo siyo pombe na bangi siyo sigara....Sasa wewe nakupa taarifa za ikulu kwa siri, halafu nanitaja. Mimi nikitahiriwa, makuja umiakiri kuwa driver wa watoto wa ile nyumba mdogo yako ya mwananyamala.
Hakyamungu Asprin wewe! kumbe na ushahidi unao... Mbeya/Iringa tuendako tuwape tu Zambia na Malawi, wanaroho za majabali.
Kumbeeeeh! Hao ni wanaume, bado akinamama wanaokeketwa! Kweli Mby wana bahati mbaya!
Back to the topic:
Asprin toa taarifa hivi ulipoponyoka break ya kwanza CHECHNYIA MBEYA AMA...
..babu ulikumbuka kunywa supu ya pweza..usije kudead kwenye kidonda ndugu..ooh
Hapa leo patamu. Nasubiria kusikia fumanizi kwa sabab najua kuna mmoja wa wake zake anajichanganya na ......... na kanipromise leo anamgadaf mtu
haya mambo si tumeongea tukiwa darasani ,unayaleta huku ili kiwe nini?nikianza kufundisha na wenzio twisheni usilalamike sitimizi wajibu wangu!enh manke na wengine wataanza na mi nataka kipindi nataka kipindi ah!