hahaha, hawa jamaa kweli wametoka mbali. halafu kumbe walikuwa marafiki hivyo, na hadi leo hawaachani tu....kupeana vyeo, professor badala ya kufundisha wanafunzi anakuwa waziri, material kichwani yatabaki kweli, si ameshasahau hivyo na jina libadilishwe?
imenivutia sana hii picha, inaonekana JK alikuwa bado kijana na mwandosya at that time nafikiri alikuwa mwalimu pale chuo idara ya Uhandisi umeme. kweli zimwi likujualo halikuli likakumaliza.
Hapa sina uhakika kama JK alikuwa anawazo kwamba atakuwa Rais wa nchi hii pia sina uhakika kama mwandosya alifikiria siku moja ataachana na ualimu aingie kwenye siasa zetu za kibongo za ki mkanda mkanda.. Yeah wametoka mbali.
Katika Mawaziri huyu Mwandosya na mwezie Mwakyusa wako makini kwa kazi zao ukiringanisha na wenzao wa awamu hii --- mmmhh ni nyongeza tu hii si key point yangu ni mtazamo tu msije mkaniambia ni-justfy - sina vielelezo vya kuambatanisha kwa sasa wakuu, ni mtazamo tu.
hahaha, hawa jamaa kweli wametoka mbali. halafu kumbe walikuwa marafiki hivyo, na hadi leo hawaachani tu....kupeana vyeo, professor badala ya kufundisha wanafunzi anakuwa waziri, material kichwani yatabaki kweli, si ameshasahau hivyo na jina libadilishwe?
mkuu nimeweka post mbili zikiwa na attachment ya hizo picha,lakini ndio kwanza umecopy na ku edit kwenye thread yako,kisha umedileti post zangu! poa lakini sio vizuri kudileti post.help plse!! is anyone there? kwikwi ya picha.......just give me steps how to paste a picture.. pakajimmy you there?
lol, who owns the copyright? jf? babukijana?elnino?mkuu nimeweka post mbili zikiwa na attachment ya hizo picha,lakini ndio kwanza umecopy na ku edit kwenye thread yako,kisha umedileti post zangu! poa lakini sio vizuri kudileti post.
pape kuna mtu kacheza mchezo mchafu hapa,nilikua nasubiri ka thanx toka kwa EL-NINO,lakini ndo kwanza hata hizo post nimeweka hazipo.lol, who owns the copyright? jf? babukijana?elnino?
Uliweka post gani mkuu? unahisi umeonewa? nakushauri kwamba ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe mkuu!pape kuna mtu kacheza mchezo mchafu hapa,nilikua nasubiri ka thanx toka kwa EL-NINO,lakini ndo kwanza hata hizo post nimeweka hazipo.
aah ok anyway nisawa,ila nashangaa kama mtu anaweza futa post za mtu mwingineUliweka post gani mkuu? unahisi umeonewa? nakushauri kwamba ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe mkuu!
No, only mods can do! Are you accusing mods?aah ok anyway nisawa,ila nashangaa kama mtu anaweza futa post za mtu mwingine
mkuu nimeweka post mbili zikiwa na attachment ya hizo picha,lakini ndio kwanza umecopy na ku edit kwenye thread yako,kisha umedileti post zangu! poa lakini sio vizuri kudileti post.
Haya mengi yaendelea kuibuka!Babukijana, usimlaumu ELNINO kwani hana uwezo wa ku-delete post ya mtu mwingine? Ni mods (administrators) tu ndo wenye uwezo wa kufanya hivyo na wewe mwenyewe uliyeweka hiyo post. Inaonekana kuwa mods wamehamisha hii thread toka ilikokuwa (habari mchanganyiko) kuja hapa jukwaa la picha na wameona post zako zenye picha ni dublicate huenda ndo maana wamezifuta.