Ikiwa linafikia fainali zake siku ya jumapili kombe la dunia chini ya miaka 17 sisi Watanzania tumejifunza nini ili kuendeleza soka letu hapa nchini, tumeona timu ya Nigeria ikiingia fainali na timu kama Bukinafaso ikifanya vizuri kwenye mashindano hayo. Natoa changamoto kwa TFF kuyaangalia mashindano hayo kama upeo wa kuendeleza soka letu nchini