Tumefikaje hapa? Nini kifanyike kuokoa Taifa ni hii aibu?

radika

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
20,427
32,196
Imefikia hatua usipojikomba kwa viongozi wa nchi, unaonekana hufanyi kazi na sio mzalendo. Unaweza kupoteza Utaifa wako usipojikomba na kusifia.

Tumekua watu wa kuabudu mambo ambayo unaona kabisa hayapo sawa lakini tunaaminisha ngazi za juu mambo yapo sawa nani anateswa? Mtawala au tabaka tawaliwa? Anafurahishwa nani mwajiri au mwajiriwa?

Nini hatma ya Taifa na hii tabia inayoua taaluma za watu kwa kujikomba na kujipendekeza?

Imefika hatua kiongozi mkubwa toka taasisi nyeti anasema wizi hakuna serikalini ina maana ripoti za CAG zinadanganya? Kazi ya CAG haipo?

Tutafakari kama Taifa na hii aibu inayoangamiza Taifa ina hama kizazi hadi kizazi

Mwisho tunajenga Taifa la hovyo

Nini kifanyike Watanzania wenzangu na hii aibu?
 
Hii yote inatokana na katiba ya hovyo tuliyonayo.

Katiba imewapa mamlaka makubwa sana viongozi wakuu kiasi kwamba wanaweza kumtoa mtu yeyote kwenye nyadhifa aliyonayo na siyo kumtoa tu bali kufukuza nchini maana wanaouwezo mpaka wa kukupa kesi ya uhujumu uchumi ili mradi upotelee jela au wanaweza hata kupoteza uhai waanayewapinga kuisha kwa haya panawezekana endapo aina hii ya watawala waliyopo madarakani watatolewa na chama chao kipumzike kisha tubadili mfumo mzima wa wa utawala.
 
Hapana nifafanulie
CAG anajenga hoja Kwa muktadha wa mahesabu ya kiuhasibu.

Mfano mkandarasi Aliyeshindwa zabuni ni WA 150b na kumuacha wa 100b hapo CAG atasema Serikali imeoata hasara ya bil.50 kwa kuchukua mzabuni wa bei ya juu badala wa bei ya chini kama.sheria ya PPRA inavyotaka.

Ila Sasa timu ya tathmni ya zabuni na Bodi ya zabuni ikaona Bora apewa wa bei ya juu labda Kwa sababu huyu wa bei ya chini ange default au kuchelewwaha kaiz au Huduma ambayo in turn ingeleta hasara zaiis baadae eg Yapi Merkezi vs Mchina.

Sasa hoja za hivi ndio ziko nyingi au unakuta CAG anaelezea hasara ambazo mashirika ya Umma yanapata Kwa sababu mbalimbali.

Mpaka hapo huo sio wizi japo.kwa Nje ni wizi ndio maana Sasa Serikali hupewa mda na CAG kujibu hoja na pale ambapo majibu hayatamridhisha CAG basi Takukuru wanaweza ingia kufanya uchunguzi na wakijiridhisha hoja ya CAG itakuwa kama ushahidi.

Lakini sio kuchukulia the whole reporting ya CAG eti ni wizi.
 
CAG anajenga hoja Kwa muktadha wa mahesabu ya kiuhasibu.

Mfano mkandarasi Aliyeshindwa zabuni ni WA 150b na kumuacha wa 100b hapo CAG atasema Serikali imeoata hasara ya bil.50 kwa kuchukua mzabuni wa bei ya juu badala wa bei ya chini kama.sheria ya PPRA inavyotaka.

Ila Sasa timu ya tathmni ya zabuni na Bodi ya zabuni ikaona Bora apewa wa bei ya juu labda Kwa sababu huyu wa bei ya chini ange default au kuchelewwaha kaiz au Huduma ambayo in turn ingeleta hasara zaiis baadae eg Yapi Merkezi vs Mchina.

Sasa hoja za hivi ndio ziko nyingi au unakuta CAG anaelezea hasara ambazo mashirika ya Umma yanapata Kwa sababu mbalimbali.

Mpaka hapo huo sio wizi japo.kwa Nje ni wizi ndio maana Sasa Serikali hupewa mda na CAG kujibu hoja na pale ambapo majibu hayatamridhisha CAG basi Takukuru wanaweza ingia kufanya uchunguzi na wakijiridhisha hoja ya CAG itakuwa kama ushahidi.

Lakini sio kuchukulia the whole reporting ya CAG eti ni wizi.

Nakumbuka CAG alisema hazionekani triollion 1.5 ilikuwaje polepole aje kutetea ikiwa sio kazi yake kufichua wizi?
 
Alikuwa akikokotoa matumizi yake kwamba yapo kihalali kuonesha hazijaibwa
Ndio hivyo Sasa maana unaweza tumia lakini ni kinyume na maelekezo ya sheria ,hata kama imetumia sahihi ila hukufuata Taratibu za Fedha hapo CAG atasema Kuna ukiukwaji wa Taratibu za matumizi ya Fedha hivyo kuwa na viashiria vya matumizi mabaya.

So majibu yote ni sahihi kwamba Kuna uwezekano huo wa wizi na ndio maana CAG anataka apewe majibu kabla ya kuifuta hiyo hoja.
 
Ndio hivyo Sasa maana unaweza tumia lakini ni kinyume na maelekezo ya sheria ,hata kama imetumia sahihi ila hukufuata Taratibu za Fedha hapo CAG atasema Kuna ukiukwaji wa Taratibu za matumizi ya Fedha hivyo kuwa na viashiria vya matumizi mabaya.

So majibu yote ni sahihi kwamba Kuna uwezekano huo wa wizi na ndio maana CAG anataka apewe majibu kabla ya kuifuta hiyo hoja.

Kwa hiyo CAG anaonesha wizi upo , wakat anapokea ripot ya CAG samiah alisema kuna watu wameongeza cha juu ktk manunuz ya ndege na vipuli sasa huo sio wizi? Miwsho raisi akasema stupid na watupishe hapo si tayar kuna wizi?
 
Kwa hiyo CAG anaonesha wizi upo , wakat anapokea ripot ya CAG samiah alisema kuna watu wameongeza cha juu ktk manunuz ya ndege na vipuli sasa huo sio wizi? Miwsho raisi akasema stupid na watupishe hapo si tayar kuna wizi?
Ni ngumu sana kusema wameongeza Cha Juu Kwa sababu mkataba wa manunuzi upo na ulisainiwa na kama mkataba unazungumzia malipo yataendana na mabadiliko ya Dola Kwa wakati huo lazima pesa itaongezeka.
 
Ni ngumu sana kusema wameongeza Cha Juu Kwa sababu mkataba wa manunuzi upo na ulisainiwa na kama mkataba unazungumzia malipo yataendana na mabadiliko ya Dola Kwa wakati huo lazima pesa itaongezeka.

Mkuu kwa hiyo raisi uliudanganya umma? Hajui hayo?
 
Wewe unadhani Rais anajua Kila kitu? Ndio maana CAG Huwa hataji jina la mtu Wala hasemi pesa zimeibiwa ila anatumia lugha ya upotevu

Kwa hiyo anaropoka tu basi tunaongozwa na watu wasiojua mambo asa inakuwaje madaraka makubwa wanapewa vilaza?
 
Wewe unadhani Rais anajua Kila kitu? Ndio maana CAG Huwa hataji jina la mtu Wala hasemi pesa zimeibiwa ila anatumia lugha ya upotevu
Wewe ni bonge la kilaza na reject.

Ebu simama hapo juu ya meza sebuleni na kupaza sauti kubwa ukijipiga kifuani na kusema mimi ni KENGE!

Haya kammon Inuka mara moja na kufanya hivyo.

Nyau ww

Cc Lucas mwashambwa Mkunazi Njiwa (Jumbe Brown)
 
Imefikia hatua usipojikomba kwa viongozi wa nchi, unaonekana hufanyi kazi na sio mzalendo. Unaweza kupoteza Utaifa wako usipojikomba na kusifia.

Tumekua watu wa kuabudu mambo ambayo unaona kabisa hayapo sawa lakini tunaaminisha ngazi za juu mambo yapo sawa nani anateswa? Mtawala au tabaka tawaliwa? Anafurahishwa nani mwajiri au mwajiriwa?

Nini hatma ya Taifa na hii tabia inayoua taaluma za watu kwa kujikomba na kujipendekeza?

Imefika hatua kiongozi mkubwa toka taasisi nyeti anasema wizi hakuna serikalini ina maana ripoti za CAG zinadanganya? Kazi ya CAG haipo?

Tutafakari kama Taifa na hii aibu inayoangamiza Taifa ina hama kizazi hadi kizazi

Mwisho tunajenga Taifa la hovyo

Nini kifanyike Watanzania wenzangu na hii aibu?
Aisome Lucas Mwanini sijui
 
Back
Top Bottom