Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
hey
najua kuna makabila yanafaidi hii nchi, kama shemeji zangu wa KIBOROLONI, NA BIHARAMULO.......
sasa na mimi MMAKONDE wa NEWALA nataka kazi hiyo ya UAFSA PESA.. wa mangi....
mfano: asilimia 99% ya wasomi vijana wa hapa MTWARA VIJIJINI hawana kazi za maana, hakuna wa kuwabeba!!
Yaan makampuni ya mafuta, gesi, uvuvi na cement ni wageni tupuuuu""!!!!!!
MTWARA OYEEEEEEEEEEEEEEEeeeeddde
najua kuna makabila yanafaidi hii nchi, kama shemeji zangu wa KIBOROLONI, NA BIHARAMULO.......
sasa na mimi MMAKONDE wa NEWALA nataka kazi hiyo ya UAFSA PESA.. wa mangi....
mfano: asilimia 99% ya wasomi vijana wa hapa MTWARA VIJIJINI hawana kazi za maana, hakuna wa kuwabeba!!
Yaan makampuni ya mafuta, gesi, uvuvi na cement ni wageni tupuuuu""!!!!!!
MTWARA OYEEEEEEEEEEEEEEEeeeeddde