mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,001
Wabongo huwa hatuna Malengo!
Auditor anatakiwa atestiwe kama ufahamu wa mbinu za Ukaguzi na si kumuuliza kila Kitu!
Tume ya Ajira nayo Mkweche!
Auditor anapaswa kujua mambo mengi zaidi ya uchumi tu ndo mana unaposoma accounts utasoma na economics pia huwezi kuwa muhasibu au auditor wakati hujui chochote kwenye economics