anaitwa Faith,mmmh isije ndo kutegana
Haiwezekani anaconfirm ndoa nyingi bila kufanya uchunguzi.
Nabisha Lady doctor ni single
Arushaone single
hakuna uhusiano between figganigga na Heaven on earth
ladyfurahia single
eti Bishanga ana mke,wakati single anaspend dollor na euro apate anayempenda.
Baba V tafakari chukua hatua
hehehe Honey Faith we haya tu,ukipendwa jiachie bhanahahahahaha
un jina tamu kama la mpenzi wangu nikionaga comment yako moyo unadunda nahisi kama ndo mwenyewe
hahahahaha
mi sikubaliani kabisa,uwe unatuachia mda vijana tujiachie ukishaconfirm unatuzibia riziki,mi sina roho ya tamaa ila nina slogan "follow a leader but get your master plan"Hivi kwa nini huwa mkijiskia kulia mnamtafuta Baba V !?? Excellent hebu kabla hujapima maji kwa miguu yote miwili fanya ka "homuweki" ujue wale waliokuwa na roho za tamaa na majungu kimewapata nini. Ref. Erickb52, ummu kulthum na Himidini . This is "tall" water..
Hivi kwa nini huwa mkijiskia kulia mnamtafuta Baba V !?? Excellent hebu kabla hujapima maji kwa miguu yote miwili fanya ka "homuweki" ujue wale waliokuwa na roho za tamaa na majungu kimewapata nini. Ref. Erickb52, ummu kulthum na Himidini . This is "tall" water..