Nasikiliza sakata la wanafunzi wa Tumaini University Moshi-East African Radio, wanafunzi waliomba kozi ya Public Administration (Degree) walipofika chuo wanafundishwa Office management (degree)
1. Wanafunzi walipelekwa na TCU huko kwa kozi hiyo walipofuatilia sakata hilo imeonekana TCU wame conspire na Tumain kuwalaghai wanafunzi ili wapate pesa
2. Askofu (owner) amewakimbia wanafunzi japo wamelipa around 1.6mil annual tuition fee
3. Mkuu wa chuo amekataa kukutana na wanafunzi inaonekana hana majibu ni tapeli fulani hivi...
4. Mkuu wa mkoa ame conspire na Askofu na mkuu wa chuo amewatosa wananchi anaogopa nini??
Wanfunzi hawana cha kufanya, utapelei mpaka vyuo vya kanisa? tutafika kweli?
1. Wanafunzi walipelekwa na TCU huko kwa kozi hiyo walipofuatilia sakata hilo imeonekana TCU wame conspire na Tumain kuwalaghai wanafunzi ili wapate pesa
2. Askofu (owner) amewakimbia wanafunzi japo wamelipa around 1.6mil annual tuition fee
3. Mkuu wa chuo amekataa kukutana na wanafunzi inaonekana hana majibu ni tapeli fulani hivi...
4. Mkuu wa mkoa ame conspire na Askofu na mkuu wa chuo amewatosa wananchi anaogopa nini??
Wanfunzi hawana cha kufanya, utapelei mpaka vyuo vya kanisa? tutafika kweli?