Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 607
- 1,097
Katika harakati za huku na kule miakaa kadhaa iliopita.
Nilikuta na binti aliekuwa anasoma chuo flani Tanzania kwenye Whatsapp.
Baada ya kuwa nje ya Tanzania, nilianza kuwatafuta ndugu ambao sijawasiliana nao siku nyingi.
Katika harakati hizo nilikuwa kila namba ninaona iko whatsaapp na sijawasiliana nayo basi nilikuwa naacha salaam.
Baada ya week moja huyu Binti alijibu salama, nikamuuliza kama yeye ni muhusika ninaemtafuta, akasema sio yeye na hapo nikapotezea.
Lakini binti alioneka kuwa interest kutaka kunijua zaidi na kuniuliza maswala kadhaa.
Hiyo salama iliendelea na mwisho wa siku tukajikuta kwenye mahusiano
Kama unavyojua nguvu ya mapenzi, nilizama kwenye penzi licha yalikuwa mahusiano ya mbali, na nilianza kumsupport kwa kila kitu wakati iko chuo, yaani kuanza vocha mpaka ada nilihusika mimi.(alitokea kwenye familia isiokuwa na uwezo)
Alipomaliza chuo, nilifikiri kumpa biashara na wakati huo nilikuwa na Duka la urembo hata before sijawah nje ya nchi na nilipanga kumkabizi hilo duka.
Kabla sijamwambia nia yangu ya kumpa hilo duka alionekana kuanza mambo mengi.
Nijituma kutoa matunzo ili nimuepushe na tamaa cos mahusiano yalikuwa ya distance. so njia bora niliona ni kumpa support kadri ya uwezo wangu.
Lakini mambo mengi yalizidi, akanivuruga akili alafu ukizingatia kabisa mpaka ndugu niliwashirikisha. ilibaki nirudi Tanzania na tufanye utaratibu wa kuishi pamoja.
Nilijaribu kumwelezea jinsi ninavyonijisikia kwa tabia alio nayo sasa lakini hata text alikuwa ajibu tena. nilipiga simu sana nikabembeleza sana lakini kila siku ni ugomvi tu.
Niliona inatosha na nikasema najiongelesha kimoyo moyo Mungu alikuwa na makusudi yake na niwe tayari kupokea matokea yote.
Ilinipa wakat mgumu sana maana niliwekeza sana kwake na siwah kufkiria jambo hili kutokea.
Maamuzi yangu yalikuwa sahihi lakini nilikutana na mtu ambae si sahihi alafu mimi huwa si mtu wa kujutia maamzu yangu na sipend tabia hiyo. huwa sina haraka ya kuchukua maamuzi na ninapofanya maamuzi yakienda tofauti na nilivyotarajia bas huwa sipend kujilaumu ila naweza kuumia kitu kuwa tofauti na nilivyotarajia.
Baada ya kumsahau na kuwa kwenye jimbo lingine. leo anarudi na story mbaya. hana hata kazi mjini, support niliompa alijaribu kufanya biashara na ndugu zake lakini biashara hakufanya vizuri mwisho wa siku ikafa kabisa.
Mpenzi wake ambae kwasasa ni Ex wake alimuibia vitu vyote vya ndani alipokuwa ameenda kufatilia biashara mkoa B.(vitu hvyo mimi ndo nilikuwa nanunua cos nikirud niwe naishi kwake badala ya kukaa hotel)
Kwaiyo anahisi mimi kuna kitu nimefanya ndomana mambo yake hayaendi.
Ila nilimsamehe siku nyingi na sina hata chembe ya kinyongo, nampenda Yesu na kumfuata.
Mimi ni mwepesi wa kusamehe na kusahau. juhudi zangu nyingi saiv nkumtumikia Mungu wangu. nisaidie ndugu jamaa na marafiki na yeyote anahitaji msaada wangu.
Anayonifanyia Mungu ni makubwa sana na mimi ninarudisha mema kwa kuishi na watu wake vizuri.
Lakini Dear Ex anataka tena turudiane. nilimjibu katika mambi ambayo hayatawezekana katika maisha yake basi aweke na hili kwenye List.
Lei nimshea story zangu mbili za Mapenzu na nimejiskia tu kufabya hvyo na si kwamba nahitaji ushauri.
Asante
Nilikuta na binti aliekuwa anasoma chuo flani Tanzania kwenye Whatsapp.
Baada ya kuwa nje ya Tanzania, nilianza kuwatafuta ndugu ambao sijawasiliana nao siku nyingi.
Katika harakati hizo nilikuwa kila namba ninaona iko whatsaapp na sijawasiliana nayo basi nilikuwa naacha salaam.
Baada ya week moja huyu Binti alijibu salama, nikamuuliza kama yeye ni muhusika ninaemtafuta, akasema sio yeye na hapo nikapotezea.
Lakini binti alioneka kuwa interest kutaka kunijua zaidi na kuniuliza maswala kadhaa.
Hiyo salama iliendelea na mwisho wa siku tukajikuta kwenye mahusiano
Kama unavyojua nguvu ya mapenzi, nilizama kwenye penzi licha yalikuwa mahusiano ya mbali, na nilianza kumsupport kwa kila kitu wakati iko chuo, yaani kuanza vocha mpaka ada nilihusika mimi.(alitokea kwenye familia isiokuwa na uwezo)
Alipomaliza chuo, nilifikiri kumpa biashara na wakati huo nilikuwa na Duka la urembo hata before sijawah nje ya nchi na nilipanga kumkabizi hilo duka.
Kabla sijamwambia nia yangu ya kumpa hilo duka alionekana kuanza mambo mengi.
Nijituma kutoa matunzo ili nimuepushe na tamaa cos mahusiano yalikuwa ya distance. so njia bora niliona ni kumpa support kadri ya uwezo wangu.
Lakini mambo mengi yalizidi, akanivuruga akili alafu ukizingatia kabisa mpaka ndugu niliwashirikisha. ilibaki nirudi Tanzania na tufanye utaratibu wa kuishi pamoja.
Nilijaribu kumwelezea jinsi ninavyonijisikia kwa tabia alio nayo sasa lakini hata text alikuwa ajibu tena. nilipiga simu sana nikabembeleza sana lakini kila siku ni ugomvi tu.
Niliona inatosha na nikasema najiongelesha kimoyo moyo Mungu alikuwa na makusudi yake na niwe tayari kupokea matokea yote.
Ilinipa wakat mgumu sana maana niliwekeza sana kwake na siwah kufkiria jambo hili kutokea.
Maamuzi yangu yalikuwa sahihi lakini nilikutana na mtu ambae si sahihi alafu mimi huwa si mtu wa kujutia maamzu yangu na sipend tabia hiyo. huwa sina haraka ya kuchukua maamuzi na ninapofanya maamuzi yakienda tofauti na nilivyotarajia bas huwa sipend kujilaumu ila naweza kuumia kitu kuwa tofauti na nilivyotarajia.
Baada ya kumsahau na kuwa kwenye jimbo lingine. leo anarudi na story mbaya. hana hata kazi mjini, support niliompa alijaribu kufanya biashara na ndugu zake lakini biashara hakufanya vizuri mwisho wa siku ikafa kabisa.
Mpenzi wake ambae kwasasa ni Ex wake alimuibia vitu vyote vya ndani alipokuwa ameenda kufatilia biashara mkoa B.(vitu hvyo mimi ndo nilikuwa nanunua cos nikirud niwe naishi kwake badala ya kukaa hotel)
Kwaiyo anahisi mimi kuna kitu nimefanya ndomana mambo yake hayaendi.
Ila nilimsamehe siku nyingi na sina hata chembe ya kinyongo, nampenda Yesu na kumfuata.
Mimi ni mwepesi wa kusamehe na kusahau. juhudi zangu nyingi saiv nkumtumikia Mungu wangu. nisaidie ndugu jamaa na marafiki na yeyote anahitaji msaada wangu.
Anayonifanyia Mungu ni makubwa sana na mimi ninarudisha mema kwa kuishi na watu wake vizuri.
Lakini Dear Ex anataka tena turudiane. nilimjibu katika mambi ambayo hayatawezekana katika maisha yake basi aweke na hili kwenye List.
Lei nimshea story zangu mbili za Mapenzu na nimejiskia tu kufabya hvyo na si kwamba nahitaji ushauri.
Asante