Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,549
- 2,989
Ndugu zangu
Kwenye jukwaa hili nimeshuhudia hadithi na mikasa mingi watu waliyokutana nayo kabla na hata baada ya kujiunga mtandao huu mwaka 2014 hivyo kwanza nijipongeze kwa kufikisha miaka 10 kwenye hili jukwaa na miaka yangu hii kumi napenda kutoa stori fupi ya maisha yangu ambayo ni ya kusikitisha niliyaiga kutoka kwa Rafiki yangu mmoja mwaka23/3/ 2017.
MAISHA YA KUBETI
Watu wengi wanaoingia kwenye mikwamo ya ulevi hawaingii kwa kupenda ila mara nyingi huwa ni externally forcing huenda ni vichochezi vya marafiki,mitandao ya kijamii,dhiki na mengineyo.
Nakumbuka nilikuwa ni mtu safi ambaye nilijiapiza kutojihusisha na kamari pamoja utumiaji wa bangi ila la haula bahati mbaya iliyoje kote nimepakanyaga lakini nimeweza kuacha bangi ila siyo kamari ambayo imenicost muda,kuniathiri akili,fedha,magonjwa pamoja na tabia.
Kama hamutambui Magonjwa mengi ya akili,moyo na mabadiliko ya tabia huchochewa na kuanzisha tabia hizi mpya mimi nakumbuka 2016 nilimaliza masomo yangu ya kidato cha 6 kama mtahiniwa wa kujitegemea baada ya kushindwa kulipa ada,namshukuru mungu nilifaulu lakini ndiyo kipindi ambacho niliadapt tabia mbaya ya uchezaji kamari ambapo Rafiki yangu alikuwa ni mwenye kuicheza na kunishawishi sababu alikuwa anapata vishilingi na kwa bahati mbaya maisha yangu mimi toka udogoni ni mabovu pesa ni ngumu kushika hivyo nikasema acha nijitafutie bahati.
Lahaulaaaaa!!!nilijiunga na mtandao wa m-bet nilipigwa kila siku basi ikafika kipindi nikaanza kuhudhuria meridiani pale magomeni mkabala na mwendo kasi kwa siku ya kwanza niliweka 500 nikaweka odd ndogo nikala 4500 nikasema hapa mambo fresh,basi tangu hapo nilikuwa napigwa tu,kila navyopata pesa naenda kuongeza napigwa pesa yote na sikuwahi kuvuka hata kiasi cha 10,000.kuna siku nilibet PM bet nikala 15,000 ebwaa eeeh nikasema nicheze visual throne nikagongwa yote basi tangia hapo napigwa tu.
NIMEPATA KAZI YA KUUZA DUKA(2017)
Mwanzoni kabisa nilipata kazi ya kuuza duka xxxxxx basi ilitokea tu!bahati jamaa wa duka aliniamini sana,ila kwa bahati mbaya kamari ilivunja uaminifu nilikuwa kila usiku nikifunga duka hua naenda kubet thrown visual ya mpira nililiwa pesa ya watu mpaka nikawa najilaumu na kuapa viapo vyote kuwa nitaacha ila wapi!!.
Kibaya zaidi,nilikuwa natumia pesa ya dukani kila siku 20,000-30,000/= kuzani nitarejesha lakini wapi na mshahara wangu ulikuwa 90,000/= ilitokea siku nikafunga duka ili niende kufanya kitu fulani mkononi nilishika 60,000/= sijui ndiyo shetani akanipitia nikajiona naelekea thrown kucheza visual aiseee niligongwa yote yaaani unaweka mpira nyau nyau, dog hamna kitu,namba hamna daaaah toka siku hiyo nikajiapiza tena kuwa sitacheza ila wapi.
siku inayofata jamaa akaja dukani tukapiga hesabu kiasi kama cha 235,000/= kilipungua ndani ya siku chache tu, nikataka kupelekwa polisi ila huku na huku pesa ikalipwa..sikuwa mwenye kupata chochote ila nafsi yangu tu ni ngumu kuacha.
niliachishwa kazi,nilijutia ila niliendelea basi ilitokea home napewa pesa naenda kwenye kamari naliwa alafu nasingizia imepotea dah maisha yalikuwa ni ya kipumbavu sana.
Ukweli nikipiga hesabu ya pesa nilizotumia kwenye kamari naweza kupata 6,000,000/= mpaka kufikia sasa sina hata kiwanja wala chochote nipo nipo na bado nacheza tu.
WADAU MIAKA 8 BILA MAFANIKIO KATIKA KAMARI,MISUKOSUKO YA MAISHA KISA KAMARI
UKWELI BADO NACHEZA JAPO NIMEPEVUKA NIMEACHA MAMBO YA VISUAL ILA NINGELIKUWA RAIS NINGELIFUKUZIA MBALI HIZI KAMPUNI ZA KUBETI SIYO POWA VIJANA WANAKUWA WAGOJWA WA AKILI,MWILI N.K SABABU YA KAMARI
MWISHO UZI USIUNGANISHWE
Kwenye jukwaa hili nimeshuhudia hadithi na mikasa mingi watu waliyokutana nayo kabla na hata baada ya kujiunga mtandao huu mwaka 2014 hivyo kwanza nijipongeze kwa kufikisha miaka 10 kwenye hili jukwaa na miaka yangu hii kumi napenda kutoa stori fupi ya maisha yangu ambayo ni ya kusikitisha niliyaiga kutoka kwa Rafiki yangu mmoja mwaka23/3/ 2017.
MAISHA YA KUBETI
Watu wengi wanaoingia kwenye mikwamo ya ulevi hawaingii kwa kupenda ila mara nyingi huwa ni externally forcing huenda ni vichochezi vya marafiki,mitandao ya kijamii,dhiki na mengineyo.
Nakumbuka nilikuwa ni mtu safi ambaye nilijiapiza kutojihusisha na kamari pamoja utumiaji wa bangi ila la haula bahati mbaya iliyoje kote nimepakanyaga lakini nimeweza kuacha bangi ila siyo kamari ambayo imenicost muda,kuniathiri akili,fedha,magonjwa pamoja na tabia.
Kama hamutambui Magonjwa mengi ya akili,moyo na mabadiliko ya tabia huchochewa na kuanzisha tabia hizi mpya mimi nakumbuka 2016 nilimaliza masomo yangu ya kidato cha 6 kama mtahiniwa wa kujitegemea baada ya kushindwa kulipa ada,namshukuru mungu nilifaulu lakini ndiyo kipindi ambacho niliadapt tabia mbaya ya uchezaji kamari ambapo Rafiki yangu alikuwa ni mwenye kuicheza na kunishawishi sababu alikuwa anapata vishilingi na kwa bahati mbaya maisha yangu mimi toka udogoni ni mabovu pesa ni ngumu kushika hivyo nikasema acha nijitafutie bahati.
Lahaulaaaaa!!!nilijiunga na mtandao wa m-bet nilipigwa kila siku basi ikafika kipindi nikaanza kuhudhuria meridiani pale magomeni mkabala na mwendo kasi kwa siku ya kwanza niliweka 500 nikaweka odd ndogo nikala 4500 nikasema hapa mambo fresh,basi tangu hapo nilikuwa napigwa tu,kila navyopata pesa naenda kuongeza napigwa pesa yote na sikuwahi kuvuka hata kiasi cha 10,000.kuna siku nilibet PM bet nikala 15,000 ebwaa eeeh nikasema nicheze visual throne nikagongwa yote basi tangia hapo napigwa tu.
NIMEPATA KAZI YA KUUZA DUKA(2017)
Mwanzoni kabisa nilipata kazi ya kuuza duka xxxxxx basi ilitokea tu!bahati jamaa wa duka aliniamini sana,ila kwa bahati mbaya kamari ilivunja uaminifu nilikuwa kila usiku nikifunga duka hua naenda kubet thrown visual ya mpira nililiwa pesa ya watu mpaka nikawa najilaumu na kuapa viapo vyote kuwa nitaacha ila wapi!!.
Kibaya zaidi,nilikuwa natumia pesa ya dukani kila siku 20,000-30,000/= kuzani nitarejesha lakini wapi na mshahara wangu ulikuwa 90,000/= ilitokea siku nikafunga duka ili niende kufanya kitu fulani mkononi nilishika 60,000/= sijui ndiyo shetani akanipitia nikajiona naelekea thrown kucheza visual aiseee niligongwa yote yaaani unaweka mpira nyau nyau, dog hamna kitu,namba hamna daaaah toka siku hiyo nikajiapiza tena kuwa sitacheza ila wapi.
siku inayofata jamaa akaja dukani tukapiga hesabu kiasi kama cha 235,000/= kilipungua ndani ya siku chache tu, nikataka kupelekwa polisi ila huku na huku pesa ikalipwa..sikuwa mwenye kupata chochote ila nafsi yangu tu ni ngumu kuacha.
niliachishwa kazi,nilijutia ila niliendelea basi ilitokea home napewa pesa naenda kwenye kamari naliwa alafu nasingizia imepotea dah maisha yalikuwa ni ya kipumbavu sana.
Ukweli nikipiga hesabu ya pesa nilizotumia kwenye kamari naweza kupata 6,000,000/= mpaka kufikia sasa sina hata kiwanja wala chochote nipo nipo na bado nacheza tu.
WADAU MIAKA 8 BILA MAFANIKIO KATIKA KAMARI,MISUKOSUKO YA MAISHA KISA KAMARI
UKWELI BADO NACHEZA JAPO NIMEPEVUKA NIMEACHA MAMBO YA VISUAL ILA NINGELIKUWA RAIS NINGELIFUKUZIA MBALI HIZI KAMPUNI ZA KUBETI SIYO POWA VIJANA WANAKUWA WAGOJWA WA AKILI,MWILI N.K SABABU YA KAMARI
MWISHO UZI USIUNGANISHWE