DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Kichwa cha habari hii leo chajieleza,eti CHADEMA YAMWAGA DAMU..ikiwa pia na lengo la kumbeba Mwigulu ambaye aliratibu mauaji hayo kwa njia ya simu.Tunapenda kuwaeleza wakala wa magazeti ya serikali TSN kuwa wanaokamuliwa kodi hawana itikadi moja,na hilo gazeti lao watambue kuwa hapa arusha haliuzi hata nakala 60 bcoz'f bias.