ufisadi no
Member
- Jun 20, 2012
- 97
- 34
hilo gazeti huwa silionagi kwenye stands za magazeti likiuzwa. wateja wao wakubwa ni maofisi ya serikali basi. nani anunue huo utumbo?
gazeti dhaifu lazima lisomwe na watu dhaifu tena wanaoiunga mkono serikali dhaifu.nani asome pumba kwenye gazeti hilo?