Mastabenja
Member
- Mar 23, 2012
- 25
- 6
Huyu jamaa alikuwa hodari sana wa kufundisha hist_kila aliyekuwa anahudhuria vipindi vyake alikuwa anainjoy sana.alikuwa hana complication za kijinga kama dr mselemu -huyu dr akikuwa kilaza sijawahi kuona .hebu tujikumbushe