mwanahabari93
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 263
- 169
Ukienda JWTZ kipindi cha kozi, ukiwa unambwelambwela unaulzwa umepiga Ruvu nn.
kwahyo kunaonekana kwa wachovu??
Ukienda JWTZ kipindi cha kozi, ukiwa unambwelambwela unaulzwa umepiga Ruvu nn.
kwahyo kunaonekana kwa wachovu??
Kama wew wataka jeshi kunoga nenda kigoma hukoo, ila piga wajibu wako jenga life
sijui kwa miaka ya sasa ila kile kipindi cha nyuma RUVU JKT walikuwa hawapeleki wagonjwa.
na kambi mojawapo ambayo tulikuwa tunazalisha mchele mwingi sana miaka ile. wagonjwa walikuwa wanapelekwa MGULANI JKT NA SIO RUVU.
MKUU USIIDHARAU KAMBI YETU YA MIAKA MINGI.
Ukienda JWTZ kipindi cha kozi, ukiwa unambwelambwela unaulzwa umepiga Ruvu nn.
Ndugu wanaJF mimi napenda kujua hali ya kikosi cha Ruvu pakoje, Je! Ni porini sana na zipi kaz za pale?
Msaada kwa anayejua
Ukienda JWTZ kipindi cha kozi, ukiwa unambwelambwela unaulzwa umepiga Ruvu nn.
du! ndo nimewasili leo mungu wangu nisaidie du wako poa kimsoc
Ndugu wanaJF mimi napenda kujua hali ya kikosi cha Ruvu pakoje, Je! Ni porini sana na zipi kaz za pale?
Msaada kwa anayejua
ile ni kambi ya kijeshi JKT hivyo usiogope mafunzo! nenda kafanye kazi za watu
du! ndo nimewasili leo mungu wangu nisaidie du wako poa kimsoc
mateso yapo Bulombora huko, wanang'oa sana visiki.
hapo ruvu mtakula bata