Nimewasamehe wapinzani wote kwa kunitukana badala ya kujibu mapigo kwa hoja
Jaman Kuna Wengi Tumekwazana Sana Kupitia Itikadi, Majibu, Sera, Kuhusu Wagombea Wetu, Kuna Wengine Najua Mmetishana Kupitia Hata Sms, Sasa Naomba Umtaje Ulomkosea Na Umuombe Msamaha,