Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,282
ukiona jinai na wewe ukaamua kuchukua hatua za makusudi kuificha hiyo jinai unakuwa accomplice after the fact...so hawa wote waliochukua hatua za kuificha jinai ya serikali ili kuilinda nao ni waovu kama wale waliofanya maovu yenyewe...wote ni kwa pilato na kuishia segerea!