Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,832
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.
Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.
Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.
Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.
Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.
Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.
Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.