Tulia Akson: Kazi zote huwa za mfalme(Rais), wengine tunamsaidia

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,447
7,832
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.

Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.

Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.

Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.

 
Anasema ukweli, kwa bahati mbaya sana😂😂.

Nchi ya Kifalme.. na Mfalme ni mwamuzi wa kila kitu.

Sasa wale mnaopenda kuwalaumu wasaidizi wa mfalme, mlaumuni mfalme moja kwa moja.

The Tanzania monarchy state. . Ahsante sana Spika.
hata wale wanaomlalamikia Mwigulu Nchemba waache sababu hizo kazi anazotekeleza ni za mfalme na maagizo yote yanatolewa na mfalme na siyo Nchemba.
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.

Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.

Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.

Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.

Tabia hii imezalisha machawa wengi na mashoga Tanzania.
 
PhD utopolo - chizi kapewa microphone- anapayula tu kinacgomuijia kichwani?
Nini maana ya lile soma la secondary la civics kwamba mihimili yote ni huru na inajitegemea kwa maana ya check and balances- hicho kipengele cha kumsaidia mfalme mbona hakimo, amekitoa wapi? check n balance sio kusaidiana, labda atuambie katoa wapi hilo la kumsaidia mfalme ?
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.

Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.

Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.

Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.

Chadema watapinga
 
Unaposema tunamsaidia haileti maana

Nadhani wanafanya kwa pamoja unajua ukisema kusaidia maana yake hawa watumishi wa umma;

Wanaoiba na kufisadi nchi na miradi wanamsaidia nani kuiba au kufisadi?

Hawa wavivu na wazembe na wazee wa rushwa rushwa wanafanya hayo wakimsaidia nani?

Wale wanakula ndani na nje ya kambi zao mpaka wanavimbiwa wanamsaidia nani kula huko??

Ifike mahali tuelewe katiba yetu kimantiki na sio kuishia kuisoma tu huko madarasani

Na hii ina maana mihimili mingine haiko huru kitu ambacho sio kweli
 
Wakati mwingine Musukuma yuko sahihi kuhoji PhD za baadhi ya wanaoijiita wasomi.

Sasa Tulia ina maana hajui kuwa hii nchi ni Jamhuri na siyo ya Kifalme?

PhD yake ichunguzwe huyu.

Mawazo anayoyatoa mbele ya mahakimu/Majaji ni hatari sana, yanawamold kuanzia day one kudhani kuwa wao wanafanya kazi ya rais na siyo ya Jamhuri.

Shame!
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.

Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.

Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.

Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.

Ndio maana pia lawama zote huwa zinaelekezwa kwa mfalme hata kama walioharibu ni wasaidizi wake !! Na hapo ndipo umuhimu wa Katiba mpya bora unapoonekana ili kumpunguzia Mkuu lawama ambazo wala hakustahili kulaumiwa !! Katiba mpya ni muhimu !!
 
Unaposema tunamsaidia haileti maana

Nadhani wanafanya kwa pamoja unajua ukisema kusaidia maana yake hawa watumishi wa umma;

Wanaoiba na kufisadi nchi na miradi wanamsaidia nani kuiba au kufisadi?

Hawa wavivu na wazembe na wazee wa rushwa rushwa wanafanya hayo wakimsaidia nani?

Wale wanakula ndani na nje ya kambi zao mpaka wanavimbiwa wanamsaidia nani kula huko??

Ifike mahali tuelewe katiba yetu kimantiki na sio kuishia kuisoma tu huko madarasani

Na hii ina maana mihimili mingine haiko huru kitu ambacho sio kweli
Kwani upo muhimili unaoweza kumpinga Mkuu wa Nchi ??!!
 
kilichokufanya h
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.

Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.

Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.

Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.

Ni kiherehere gani kimekuleta huku, umeona nini cha ajabu. Au ulifikiri rais ni km mamako?
 
Anasema ukweli, kwa bahati mbaya sana😂😂.

Nchi ya Kifalme.. na Mfalme ni mwamuzi wa kila kitu.

Sasa wale mnaopenda kuwalaumu wasaidizi wa mfalme, mlaumuni mfalme moja kwa moja

Tanzania a monarchy state. . Ahsante sana Spika.
Hata ufisadi serikalini ni kazi ya rais ndio maana nashindwa kuwawajibisha mafisadi
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais.

Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo amesema kazi zote huwa za mfalme na wengine humsaidia humsaidia kuhakikisha nchi inakaa sawasawa.

Amempongeza Rais Samia kuongeza wanawake kwenye mhimili wa mahakama kwani si hali ya kawaida.

Pia ameongelea suala la hukumu za mahakama ambapo kwa niaba ya Bunge ambayo amesema pia ni kwa niaba ya wananchi wanatamani kwa mahakama kutoa hukumu kwa haraka ili haki ipatikane. Tulia amesema haki iliyocheleweshwa ni haki iliyonyimwa.

Mh.Spika Dr.Tulia Ackson ameongea kweli ambayo wenye UPOGO wa fikra watampinga....

Demokrasia haijakuja kuondoa UHALISIA wa mwanadamu na maisha yake.....

Dini ya DOLA ni haki.....

Haki hiyo anaanza kuisimamia mfalme na kuweza kushuka katika mikono yake(serikali ,mahakama na bunge)....

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE IT IS UNFAIR TO THE KNOWLEDGE

#SiempreJMT
 
Back
Top Bottom